Mie ni mkazi wa hapa Dar es Salaam. Nimepata nafasi ya kusoma "MSc in Development Policy and Practice for Civil Society" Chuo Kikuu cha Mzumbe tawi la Dar es Salaam. Masomo yanaanza mwezi ujao wa November. Karo ni TSh 4,800,000. Nina kiasi kidogo tu kisichozidi 1,000,000.
Mwenye kuguswa na ombi langu na ana nafasi ya kuniungisha niweze kuziba hili pengo, namuomba awasiliane na mie kwa namba 0764530660. Account No. yangu ni 5011740008 UMOJA Bank. Nitashukuru kwa atakayenisaidia.Aksante
Mwenye kuguswa na ombi langu na ana nafasi ya kuniungisha niweze kuziba hili pengo, namuomba awasiliane na mie kwa namba 0764530660. Account No. yangu ni 5011740008 UMOJA Bank. Nitashukuru kwa atakayenisaidia.Aksante