Toa location ya mjengo tukakutolee wapangaji, utatulipa baada ya kaziJamani naomba msaada niwwfukuzeje wapangaji wa aina hii kwenye nyumba yangu.
1.Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2.Wapili hajalipa miezi miwili
3.Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.
Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimingreatthinker mwenzenu naionea aibu.
Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwahiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.
Nyumba iko dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.
Ndugu yangu aliepo hapo dar ana mitkas yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatikia.
Naomba msaada niwafukuzeje?