cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,358
Wazee wa sikuhizi wanawashinda vijana KWA Tabia mbaya huyu atafia guest House tuje kujadili humu JFNdoa ina 26 yrs na bado unachepuka kama sisi mayanki?Pathetic
Wazee wa sikuhizi wanawashinda vijana KWA Tabia mbaya huyu atafia guest House tuje kujadili humu JFNdoa ina 26 yrs na bado unachepuka kama sisi mayanki?Pathetic
Na kwenye ndoa miaka 26 huyo mwanamke hana hata muda wa kugombana na wewe tu, sijui umetoka kugonga nje sijui blaah blaah gani.Ndoa miaka 26 alafu unauliza hiki kitu kweli? Hiyo miaka 26 yote hujaexperience challenges zozote ndani ya kitu kinachoitwa ndoa?
Kiufupi ulivyouliza ni kama vile una wiki tangia uoe.. Tulieni na wake zenu
achana na mkeo kamata modo weka ndaniHarafu shetani kanikamata aisee napenda sana vibinti vimodo huwa napata raha sana sio siri
Shauri zako..vibabu vyenzio vinafia vifuani mwa watu siku hizi.Kwani kuchepuka mwisho miaka mingapi mkuu??
Ndoa ina 26 yrs na bado unachepuka kama sisi mayanki?Pathetic
Kwani kuchepuka mwisho miaka mingapi mkuu??
Hilo bao ulikojolea nje au ndani?kweli alienda washroom alivyorudi ndy ikawa balaa maana mwanzoni nilipomaliza akaniambia mume wangu hili unalokojoa hapa kama sio la tatu basi la nneniliogopa sana maana kweli jioni hiyo nilitoka kumpa mtu goli mbili nzito aisee sitarudia maana wife japokuwa mtu mzima Ila aliumia sana mpaka leo niko safarini analalamika tu kuwa huku niko huru .....
wacha watu wajilie vitamu wewe kwani asipo chepuka hatokufa.Wazee wa sikuhizi wanawashinda vijana KWA Tabia mbaya huyu atafia guest House tuje kujadili humu JF
Akikojoa upepo Hadi mkewe akashtukaHilo bao ulikojolea nje au ndani?
wacha watu wajilie vitamu wewe kwani asipo chepuka hatokufa.
Huu ushauri si mzuri kwa upande wenu wanawake labda kama mpo kwenye crisis kati ya vimodo (kama wewe vile) na wenye miili yao.achana na mkeo kamata modo weka ndani
hahahhaaaa umodo niutolee wapi binge nyanya wa JFHuu ushauri si mzuri kwa upande wenu wanawake labda kama mpo kwenye crisis kati ya vimodo (kama wewe vile) na wenye miili yao.
Kama ningekuwa sikufahamu sawa, labda uuwanze kuupata sasa hivi 😊hahahhaaaa umodo niutolee wapi binge nyanya wa JF