Habari wana JF,
Nina shida kidogo hapa naomba msaada.
Mimi ni muuguzi ngazi ya Diploma sasa mwaka jana nilijiunga na chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kuchukua Bachelor of science in Nursing nikajisajili nikaanza masomo lakini baada ya mwezi mmoja ikanibidi nihairishe mwaka wa masomo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Kwa sasa nataka nirudi tena masomoni lakini sitaki kurudi tena UDOM nataka niquit kabisa then nifanye application tena niende chuo kingine.
Je, hapa natakiwa kufata procedure gani kujitoa kwenye system za UDOM ili muda wa application ukifika niombe vyuo vingine.
Nina shida kidogo hapa naomba msaada.
Mimi ni muuguzi ngazi ya Diploma sasa mwaka jana nilijiunga na chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kuchukua Bachelor of science in Nursing nikajisajili nikaanza masomo lakini baada ya mwezi mmoja ikanibidi nihairishe mwaka wa masomo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Kwa sasa nataka nirudi tena masomoni lakini sitaki kurudi tena UDOM nataka niquit kabisa then nifanye application tena niende chuo kingine.
Je, hapa natakiwa kufata procedure gani kujitoa kwenye system za UDOM ili muda wa application ukifika niombe vyuo vingine.