lui03152
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 253
- 340
Kama kichwa cha habari hapo juu... Mimi ni mpenzi sana wa kusoma vitabu tofauti tofaut vya kingereza na kiswahili.. naomba wabobezi wenye kujua machaka maarufu huko telegram ya kupata vitabu vya pdf ili na mimi nikafyonze mzigo wa kutosha nitakaoanza nao januari 2024.