The next JPM
Member
- Feb 22, 2023
- 22
- 44
Samahani wakuu,
Naomba kuuliza Iv chama Cha walimu Tanzania ni kwa ajiri ya walimu waliopo kwenye mfumo wa ajira au ni kwa hata kwa wale ambao hawajapata ajira....
Napenda kujua, mm ni mwanafunz wa ualimu mwaka wa pili CHUO kimoja apa Tanzania
Naomba kuuliza Iv chama Cha walimu Tanzania ni kwa ajiri ya walimu waliopo kwenye mfumo wa ajira au ni kwa hata kwa wale ambao hawajapata ajira....
Napenda kujua, mm ni mwanafunz wa ualimu mwaka wa pili CHUO kimoja apa Tanzania