Naomba kumfahamu kwa undani mdada Tina Rogat wa insta almaarufu 'Umelala Yoooo'

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,516
31,219
Huyu mdada anaitwa Tina Rogat Yuko insta almaarufu 'Umelala Yoooo' yani nampenda mno mpaka naumwa Ana macho mazuri mnoooo halafu Ana sura flani ya aibu ya kike naomba muuskrinshot ujumbe huu mumpelekee inta. Tina naomba uwe mke wangu una JICHO mamaaaa.
 
Huyu mdada anaitwa Tina rogat Yuko insta almaarufu umelala yoooo yani nampenda mno mpaka naumwa Ana macho mazuri mnoooo halafu Ana sura flani ya aibu ya kike naomba muuskrinshot ujumbe huu mumpelekee inta. Tina naomba uwe mke wangu una JICHO mamaaaa.
Unataka uwe shemela wangu ? Ni stand up comedian mwenzangu toka WATUBAKI PLATFORM

Tunafanya show kula Alhamis the base millennium towers makumbusho Dsm kuanzia SAA mbili usiku hadi SAA sita.

Tunakuwa na main show kila ijumaa ya mwisho wa mwezi PSSSF COMMERCIAL COMPLEX mkabala na Magufuli hostel

Entrance 10k and it's FREE for ladies .
 
Unataka uwe shemela wangu ? Ni stand up comedian mwenzangu toka WATUBAKI PLATFORM

Tunafanya show kula Alhamis the base millennium towers makumbusho Dsm

Tunakuwa na main show kila ijumaa ya mwisho wa mwezi PSSSF COMMERCIAL COMPLEX mkabala na Magufuli hostel
Naomba umfikishie Salam zangu za mapenzi pia Kama ikikupendeza naomba nichat nae inbox kwako ya jf au mfungulie I'd humu jf halafu unipe niwe nachat nae I will pay u for that Kama ikibidi
 
Unataka uwe shemela wangu ? Ni stand up comedian mwenzangu toka WATUBAKI PLATFORM

Tunafanya show kula Alhamis the base millennium towers makumbusho Dsm

Tunakuwa na main show kila ijumaa ya mwisho wa mwezi PSSSF COMMERCIAL COMPLEX mkabala na Magufuli hostel
Upo serious mzee. Napenda standup comedy knm sema nakosa muda. Hapo karibu na home. Hamna kipeperushi share PM man?
 
Upo serious mzee. Napenda standup comedy knm sema nakosa muda. Hapo karibu na home. Hamna kipeperushi share PM man?
Visit my Instagram page Tr Paul au watubaki page Instagram
IMG-20210201-WA0003.jpg
 
Aisee kweli kila mtu ana radha yake, nilivoona tu iyo video sijataka kuendelea.

Kichefu chefu.
Kakaa kikahaba niaje!!
Mi madem wananyoa viduku na kuvaa pensi hivyo huwa nawatafsiri km machangu waliochangamka wanaopiga mwingi sana
 
Aisee huu upendo wa ajabu sana. Yank man umefall kabisa kwa mtu ambae umemuona mtandaoni yani umepeeendaa mpaka.

Pole mkuu, sawa basi pia usiende kiivo ndgu yangu kama sio chaga basi ni kujiandalia mizinga.
 
Mambo ya insta, instastory, followers, views, likes, matangazo mbali mbali dawa za mitishamba nk. Maisha yanaendelea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom