Naomba kujuzwa taratibu za kushtaki mtu unayemdai fedha......yaan unaanzaje anzaje
Unaanza kwa kumuambia akulipe... na mtishie kuwa utamshitaki na hutorudi nyuma ukishafungua kesi... ila ndio vile ukitaka chako dai chako...
Mimi naogopa sana kukopesha mtu kwani ni sawa na kupoteza rafiki... waambieni wakopaji wenu kuwa mnawapenda wakakope benki kumnyima mtu mkopo si kumuua hivyo msikopeshe watu...
Nimemdai sana.....hivi nkienda kumshtaki polisi utakua nj mwanzo mzuri???
Najuta kumkopesha mtu fedha.. Sitokaa nimkopeshe mtu fedha hata kama anakufa!
Heri lawama kuliko hasara!
Najuta kumkopesha mtu fedha.. Sitokaa nimkopeshe mtu fedha hata kama anakufa!
Heri lawama kuliko hasara!
Najuta kumkopesha mtu fedha.. Sitokaa nimkopeshe mtu fedha hata kama anakufa!
Heri lawama kuliko hasara!