A aad Member May 15, 2019 66 63 Apr 27, 2023 #1 Ningependa kujuzwa ni faida zipi anazoweza kuzipata mtu pale atakapo jiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii kwa hiari. Na je kuna hasara zozote zinazoweza kutokea kwa mtu ambaye hajajiunga na mifuko hiyo?
Ningependa kujuzwa ni faida zipi anazoweza kuzipata mtu pale atakapo jiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii kwa hiari. Na je kuna hasara zozote zinazoweza kutokea kwa mtu ambaye hajajiunga na mifuko hiyo?
Vangigula JF-Expert Member Aug 13, 2015 814 2,543 Apr 27, 2023 #2 Kiundani kabisa sijui. Ila nawaza tu zile asilimia 15 za mwajiri na zile zako 5 wanazokuhifadhia kila mwezi, utaongea nao wakujumlishie kwenye salary?
Kiundani kabisa sijui. Ila nawaza tu zile asilimia 15 za mwajiri na zile zako 5 wanazokuhifadhia kila mwezi, utaongea nao wakujumlishie kwenye salary?