Naomba kujua makato ya mshahara 1,040,000 (NSSF, PAYE, HESLB, NHIF)

PSSSF 5%
PAYEE 12%
HESLB 15%
NHIF 3%
CHAMA (mfano TALGWU, CWT n.k ) 2%
Jumla ya makato ni 37% x1040000= 384800.

Hivyo unachobakiza ni 1040000 - 384800= 655,200/=.
Toa makato ya benki na charges nyingine tuseme 15,200/=, hivyo utabaki na 640,000/=
Hizo asilimia huwa zinakokotolewa hivyo? yaani ujumlishe iwe 37% then uzidishe na Basic salary?
 
Kodi kibao, bora kuiba tuu ukiwa kazini.
PSSSF 5%
PAYEE 12%
HESLB 15%
NHIF 3%
CHAMA (mfano TALGWU, CWT n.k ) 2%
Jumla ya makato ni 37% x1040000= 384800.

Hivyo unachobakiza ni 1040000 - 384800= 655,200/=.
Toa makato ya benki na charges nyingine tuseme 15,200/=, hivyo utabaki na 640,000/=

Kazi sana kuuza muda, tena kuiuzia serikali. Hii kali
 
PSSSF 5%
PAYEE 12%
HESLB 15%
NHIF 3%
CHAMA (mfano TALGWU, CWT n.k ) 2%
Jumla ya makato ni 37% x1040000= 384800.

Hivyo unachobakiza ni 1040000 - 384800= 655,200/=.
Toa makato ya benki na charges nyingine tuseme 15,200/=, hivyo utabaki na 640,000/=
Sema Nssf atakuja tumia baadae hakuna shida sana ni sawa na Saving tu...

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Inakuwa 400+ Kama anadaiwa HESLB.

Chukua 750k uipigie hesabu ya 37% x 750k , atabaki mkononi na 460.
Sio sahihi.
PAYE haikatwi kwenye basic salary. Inakatwa kwenye net ya kilichobaki baada ya makato mengineyo.

Usahihi ni huu hapa.

Kama yupo private:
NSSF = 10% X 1,040,000 = 104,000

Kama ni Public:
PSSF = 5% × 1,040,000 = 52,000

NHIF = 3% × 1,040,000 = 31,200

HESLB = 15% × 1,040,000 = 156,000

Jumla ndogo ya makato Private

104,000 + 31,200 + 156,000 = 291,200

Baki baada ya makato ya msingi =
1,040,000 - 291,200 = 748,800

Jumla ndogo makato Public:

52,000 + 31,200 + 156,000 = 239,200

Baki baada ya makato ya msingi:
1,040,000 - 239,200 = 800,800.

Kupata PAYE:
Chukua Baki baada ya makato ya msingi nenda kwenye website ya TRA kupata PAYE kwa kila baki.

PAYE: kwa baki ya 748,800 = 65,760
Take home = 748,800 - 65,760 = 683,040.

PAYE kwa baki ya 800,800 = 78,200
Take home = 800,800 - 78,200 = 722,600.

NB.
Kama ni marekebisho hapo ni madogo aidha PAYE wata-calculate bila kutoa deni la HESLB au baada ya kukata deni kama nilivyoainisha.
 
Sio sahihi.
PAYEE haikatwi kwenye basic salary. Inakatwa kwenye net ya kilichobaki baada ya makato mengineyo.

Usahihi ni huu hapa.

Kama yupo private:
NSSF = 10% X 1,040,000 = 104,000

Kama ni Public:
PSSF = 5% × 1,040,000 = 52,000

NHIF = 3% × 1,040,000 = 31,200

HESLB = 15% × 1,040,000 = 156,000

Jumla ndogo ya makato Private

104,000 + 31,200 + 156,000 = 291,200

Baki baada ya makato ya msingi =
1,040,000 - 291,200 = 748,800

Jumla ndogo makato Public:

52,000 + 31,200 + 156,000 = 239,200

Baki baada ya makato ya msingi:
1,040,000 - 239,200 = 800,800.

Kupata PAYEE:
Chukua Baki baada ya makato ya msingi nenda kwenye website ya TRA kupata PAYEE kwa kila baki.

PAYEE kwa baki ya 748,800 = 65,760
Take home = 748,800 - 65,760 = 683,040.

PAYEE kwa baki ya 800,800 = 78,200
Take home = 800,800 - 78,200 = 722,600.

NB.
Kama ni marekebisho hapo ni madogo aidha PAYEE wata-calculate bila kutoa deni la HESLB au baada ya kukata deni kama nilivyoainisha.
Kwani bodi ya mkopo huwa wanaanza kukat baada ya muda gani??
 
Sio sahihi.
PAYEE haikatwi kwenye basic salary. Inakatwa kwenye net ya kilichobaki baada ya makato mengineyo.

Usahihi ni huu hapa.

Kama yupo private:
NSSF = 10% X 1,040,000 = 104,000

Kama ni Public:
PSSF = 5% × 1,040,000 = 52,000

NHIF = 3% × 1,040,000 = 31,200

HESLB = 15% × 1,040,000 = 156,000

Jumla ndogo ya makato Private

104,000 + 31,200 + 156,000 = 291,200

Baki baada ya makato ya msingi =
1,040,000 - 291,200 = 748,800

Jumla ndogo makato Public:

52,000 + 31,200 + 156,000 = 239,200

Baki baada ya makato ya msingi:
1,040,000 - 239,200 = 800,800.

Kupata PAYEE:
Chukua Baki baada ya makato ya msingi nenda kwenye website ya TRA kupata PAYEE kwa kila baki.

PAYEE kwa baki ya 748,800 = 65,760
Take home = 748,800 - 65,760 = 683,040.

PAYEE kwa baki ya 800,800 = 78,200
Take home = 800,800 - 78,200 = 722,600.

NB.
Kama ni marekebisho hapo ni madogo aidha PAYEE wata-calculate bila kutoa deni la HESLB au baada ya kukata deni kama nilivyoainisha.
Huko juu uko sahihi ila kwenye PAYEE ndo umepuyanga.

Hawakokotoi hivyo, uwe na mshahara wa 1.04 M kisha ulipe kodi 65k, hiyo haipo.




Mwenye basic salary 900K+ PAYEE analipa kuanzia 100K +, sasa wewe uwe na basic 1.04M ulipe PAYEE 65K?, acheni kudanganya watu.

Ukibisha njoo na salary slip ya mwaka huu ukionesha basic salary na PAYEE inayokatwa tokea kwenye hiyo salary slip yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom