naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,420
Habari ndugu?
Kwa kipindi kirefu sana nimeshindwa kuwa mshirika wa dini, iwe Kristo/Islamic, niliamua tu niwe mpagani na kuitumia siku ya Jumapili Kama siku ya kufanya mambo yangu mengine kuliko kwenda kanisani, lakini siku zote wakati hausimami imefikia wakati sasa wa Mimi kumrudia Mungu wangu na kutii maagizo yake na kushiriki na ndugu zangu wengine katika meza ya bwana.
Nimeamua kuwa mshirika wa kanisa la KKT lakini kabla ya kushiriki huko kuna mambo machache nilitaka kuyajua kuhusu hili dhehebu kabla ya kuanza kutii uamuzi wangu wa kushiriki Ibada kila siku, maswali yenyewe ni Kama ifuatavyo:-
1. Hili kanisa lilianzishwa mwaka gani?
2. Hili kanisa lilianzishwa na nani (Kikundi cha watu, Kiogonzi wa Koo fulani au kiongozi wa nchi au mtu fulani aliyekuwa na umaarufu Duniani.
3. Nini mchango wake katika Jamii zetu?
Kuna huduma zozote ambazo washirika wake wanafaidika na uwepo wa hili dhehebu?
4. Nini mapokeo yake katika jamii?
5. Hakuna ule ujanja ujanja kama tunavyoona kwa jirani zetu wengine,
Na wewe km muhumini wa dhehebu ili au mshirika wa dhehebu lingine una lipi unalolifaham jema au baya kuhusu KKKT?
Ahsanteni na samahani kwa uandishi mbaya.
Kwa kipindi kirefu sana nimeshindwa kuwa mshirika wa dini, iwe Kristo/Islamic, niliamua tu niwe mpagani na kuitumia siku ya Jumapili Kama siku ya kufanya mambo yangu mengine kuliko kwenda kanisani, lakini siku zote wakati hausimami imefikia wakati sasa wa Mimi kumrudia Mungu wangu na kutii maagizo yake na kushiriki na ndugu zangu wengine katika meza ya bwana.
Nimeamua kuwa mshirika wa kanisa la KKT lakini kabla ya kushiriki huko kuna mambo machache nilitaka kuyajua kuhusu hili dhehebu kabla ya kuanza kutii uamuzi wangu wa kushiriki Ibada kila siku, maswali yenyewe ni Kama ifuatavyo:-
1. Hili kanisa lilianzishwa mwaka gani?
2. Hili kanisa lilianzishwa na nani (Kikundi cha watu, Kiogonzi wa Koo fulani au kiongozi wa nchi au mtu fulani aliyekuwa na umaarufu Duniani.
3. Nini mchango wake katika Jamii zetu?
Kuna huduma zozote ambazo washirika wake wanafaidika na uwepo wa hili dhehebu?
4. Nini mapokeo yake katika jamii?
5. Hakuna ule ujanja ujanja kama tunavyoona kwa jirani zetu wengine,
Na wewe km muhumini wa dhehebu ili au mshirika wa dhehebu lingine una lipi unalolifaham jema au baya kuhusu KKKT?
Ahsanteni na samahani kwa uandishi mbaya.