umesomeka kwa nguvu ya tano mkuu.. Basi kama hivyo kule KKKT hakuna anaeoa maana siku hizi ni fashion kugegeda kwanza ndio kuoa
Lutheranism is a major branch of Protestant Christianity which identifies with the theology of Martin Luther (1483-1546), German friar, ecclesiastical reformer and theologian. ... In addition, Lutheranism accepts the teachings of the first four ecumenical councils of the undivided Christian Church.Sawa mkuu lkn ninajua hapa JF nitapata majibu mazuri tu pia na ninajua siku zote wadau ndiyo wanajua zaidi kuliko wahusika, kumbuka mwamba ngozi uvutia kwake.
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ni muungano wa Kilutheri katika nchi ya Tanzania.Habari ndg?
Kwa kipindi kirefu sana nimeshindwa kuwa mshirika wa dini, iwe Kristo/Islamic, niliamua tu niwe mpagani na kuitumia siku ya Jumapili Kama siku ya kufanya mambo yangu mengine kuliko kwenda kanisani, lakini siku zote wakati hausimami imefikia wakati sasa wa Mimi kumrudia Mungu wangu na kutii maagizo yake na kushiriki na ndugu zangu wengine katika meza ya bwana.
Nimeamua kuwa mshirika wa kanisa la KKT lakini kabla ya kushiriki huko kuna mambo machache nilitaka kuyajua kuhusu hili dhehebu kabla ya kuanza kutii uamuzi wangu wa kushiriki Ibada kila siku, maswali yenyewe ni Kama ifuatavyo:-
1. Hili kanisa lilianzishwa mwaka gani?
2. Hili kanisa lilianzishwa na nani (Kikundi cha watu, Kiogonzi wa Koo fulani au kiongozi wa inchi au mtu tu fulani aliyekuwa na umaarufu Duniani.
3. Nini mchango wake katika Jamii zetu?
Kuna huduma zozote ambazo washirika wake wanafaidika na uwepo wa hili dhehebu?
4. Nini mapokeo yake katika jamii?
5. Hakuna ule ujanja ujanja Kama tunavyoona kwa jirani zetu wengine,
Na wewe km muhumini wa dhehebu ili au mshirika wa dhehebu lingine una lipi unalolifaham jema au baya kuhusu KKKT?
Ahsanteni na samahani kwa uandishi mbaya.
Mkuu fuatilia historia yako, Kanisa la Kilutheri lilianza mnamo miaka ya 1560-1600.1. lilianza mwaka 1800's.
2. alianzish martin luther baada ya kutofautiana na viongozi wake wa dini. roman catholickuhusu wokovu.
3. kusema kwa huduma za jamii wanajitahid baada ya rc wanafuatia wao kwa madhehebu wana shule hospital na vyuo vikuu
4. ni dhehebu kubwa linapokelewa vizuri na jamii baada ya rc wanafuatia kuwa na waumini wengi
5. ujanja unategemea na eneo ulipo ila wana regulation nzuri sadaka sio mali ya mtu ni ya kanisa na mnasomewa mapato na matumizi
japo mie mpagani naamini nimekusaidia kujibu
Wewe acha kujitoa ufahamu kanisa na mapokeo ya mtu na mwili wako ndio hekalu la Mungu hata ukalale pale kwenye mimbari usiku na mchana kama imani yako na matendo yako hayampendezi Mungu ni kitu bure, ukitaka kujua yote kuhusu kanisa ulilochagua nenda usharika uliochagua kusali kuna viongozi watakupa Muongozo halafu wewe unaonekana hata kipaimara hukupitia wewe Mungu hajaribiwi.Habari ndg?
Kwa kipindi kirefu sana nimeshindwa kuwa mshirika wa dini, iwe Kristo/Islamic, niliamua tu niwe mpagani na kuitumia siku ya Jumapili Kama siku ya kufanya mambo yangu mengine kuliko kwenda kanisani, lakini siku zote wakati hausimami imefikia wakati sasa wa Mimi kumrudia Mungu wangu na kutii maagizo yake na kushiriki na ndugu zangu wengine katika meza ya bwana.
Nimeamua kuwa mshirika wa kanisa la KKT lakini kabla ya kushiriki huko kuna mambo machache nilitaka kuyajua kuhusu hili dhehebu kabla ya kuanza kutii uamuzi wangu wa kushiriki Ibada kila siku, maswali yenyewe ni Kama ifuatavyo:-
1. Hili kanisa lilianzishwa mwaka gani?
2. Hili kanisa lilianzishwa na nani (Kikundi cha watu, Kiogonzi wa Koo fulani au kiongozi wa inchi au mtu tu fulani aliyekuwa na umaarufu Duniani.
3. Nini mchango wake katika Jamii zetu?
Kuna huduma zozote ambazo washirika wake wanafaidika na uwepo wa hili dhehebu?
4. Nini mapokeo yake katika jamii?
5. Hakuna ule ujanja ujanja Kama tunavyoona kwa jirani zetu wengine,
Na wewe km muhumini wa dhehebu ili au mshirika wa dhehebu lingine una lipi unalolifaham jema au baya kuhusu KKKT?
Ahsanteni na samahani kwa uandishi mbaya.
Huyu jamaa kaja kusikilizia humu hana lolote1. lilianza mwaka 1800's.
2. alianzish martin luther baada ya kutofautiana na viongozi wake wa dini. roman catholickuhusu wokovu.
3. kusema kwa huduma za jamii wanajitahid baada ya rc wanafuatia wao kwa madhehebu wana shule hospital na vyuo vikuu
4. ni dhehebu kubwa linapokelewa vizuri na jamii baada ya rc wanafuatia kuwa na waumini wengi
5. ujanja unategemea na eneo ulipo ila wana regulation nzuri sadaka sio mali ya mtu ni ya kanisa na mnasomewa mapato na matumizi
japo mie mpagani naamini nimekusaidia kujibu
Ati nini?Sikuhizi kuna watoto huku ndo maana natumia tafsida kumjua mke nikumtomba.
Acha mbwembweNakushauri tafuta kanisa la wasabato lililo karibu nawe, kuna mengi utayajua
Usimpotoshe mwenzako hujui lolote nenda kanisa lolote la KKKT utapata majibu
La mwisho KKKT wana toa cheti cha safari ukiwa unasafiri unaenda ugenini na ukifika huko ukakosa pesa ya kulala gesti au hoteli unaenda kwenye ofisi ya kanisa sehemu uliofikia na kuwaonesha cheti cha safari wanakutafutia sehemu ya kulala .1. lilianza mwaka 1800's.
2. alianzish martin luther baada ya kutofautiana na viongozi wake wa dini. roman catholickuhusu wokovu.
3. kusema kwa huduma za jamii wanajitahid baada ya rc wanafuatia wao kwa madhehebu wana shule hospital na vyuo vikuu
4. ni dhehebu kubwa linapokelewa vizuri na jamii baada ya rc wanafuatia kuwa na waumini wengi
5. ujanja unategemea na eneo ulipo ila wana regulation nzuri sadaka sio mali ya mtu ni ya kanisa na mnasomewa mapato na matumizi
japo mie mpagani naamini nimekusaidia kujibu
Kwa huu upotoshaji unategemea kuvuna nini? Haipendezi mkuu.La mwisho KKKT wana toa cheti cha safari ukiwa unasafiri unaenda ugenini na ukifika huko ukakosa pesa ya kulala gesti au hoteli unaenda kwenye ofisi ya kanisa sehemu uliofikia na kuwaonesha cheti cha safari wanakutafutia sehemu ya kulala .
Only KKKT
Habari ndg?
3. Nini mchango wake katika Jamii zetu?
Kuna huduma zozote ambazo washirika wake wanafaidika na uwepo wa hili dhehebu?
4. Nini mapokeo yake katika jamii?
Ahsanteni na samahani kwa uandishi mbaya.
nashukuru kwa masahihisho mkuu.Luther hakuishi karne ya 19 kama ulivyoandika. Ameishi karne ya 16.