tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Ndugu wanajajf, naomba ufafanuzi wa majukumu (kwa anayefahamu) kati ya Naibu waziri wa Elimu na Naibu Waziri TAMISSEMI anayeshughulikia masuala ya elimu. Kwani ukifuatilia kwenye vyombo vya habari unaweza kubaini kuwa yawezekana wanafanya dublication ya majukumu.Kama hivyo ndivyo, naibu waziri mmoja angeweza kuyafanya hayo ili tupunguze wingi wa mawaziri bila sababu za msingi.