Naomba kufahamu kuhusu Diploma ya Clinical Officer, MUHAS

Kwa sahizi uwe na B nakuendelea katika masomo matano englsh,phy,chem,bios,math hvyoook kama hyo radiology physics uwe umefaulu gud
Mkuu naomba more info kuhusu hii course
thanks in advance
 
Al-Akhy Unger,

Mdogo wangu unapotea...kama uko njema kichwani rudi shule uanze tena PCB...shule Za serikali watakupokea tu...hiyo ndio njia rahisi kupita Zote kama Unataka kuwa daktari...kama una masikio sikia
unamdanganya mm yalinitokea hayo hayo unayoyasema wewe nikajila miaka miwili advance nkaambulia kupata kozi nisizo zipenda..nkabaki najuta ngejua ngeenda diploma moja kwa moja
 
Diploma CO muhimbili hamna, ipo degree yake inaitwa MD(Medical Doctor). MD ni wa form six na diploma ya CO,
Diploma CO iko wizara ya afya,wizara ya afya inavyuo vya serikali vyenye hiyo course , ni miaka mitatu.
Wizara ya afya diploma CO ilikua ni watu wa advance sijui saivi.
 
Mkuu naomba more info kuhusu hii course
thanks in advance
Nipe hints unataka ujue nini mkuu


Kwa kifupi katika hio course ya radiology unasoma about imaging modalites zifuatazo

1)Plain x-ray
2)ultrasound
3)CT Scann
4)MRI
5)Fluoroscopy
6)Mamography

Inatolewa Muhimbili na Bugando tuu! Hapa Tz hamna degree ake labda RTT (Radiation therapy)

Ukimaliza kusoma miaka 3 unaajiliwa direct
 
Mbona mie na wengine wengi tumeenda advance na kwenda MD moja kwa moja ? Kwa nini asiwe yeye ? Jiamini dogo....ukiwa na roho ya kufeli wewe ni wa kufeli tu hata uende wapi. Ukianza CO utasugua sana benchi unaweza kusihia CO maisha yote....ila kwa sababu madogo masikio mmeziba haya fanyeni yenu sisi tumeyaishi hayo mnayotaka kuyajaribu.....Goodluck

SI KWELI hata KIDOGO
 
kwanza AFYA na UZIMA kwa MUNGU BABA, MWANA na ROHO; then

advance unapoteza mda kijana tena kwa PCB penye ukweli tue wakweli, scoring A and B sio guarantee ya ww kurudia hizo alama A level maana kule hustate archimedes and whatever kila mwaka A za phy zinapunguaga tuu hii ni pie au constant, then hayo mengine sijui

CO au whatever like radio-something for 3 yrs then 2 yrs for experience then first degree it possible

for me nenda chuo tu achana na advance
 
Muhas hawana diploma ya clinical medicine.na huko iliko km lindi,mtwara,kibaha etc ni course ya miaka mitatu sio miwili.
 
Nipe hints unataka ujue nini mkuu


Kwa kifupi katika hio course ya radiology unasoma about imaging modalites zifuatazo

1)Plain x-ray
2)ultrasound
3)CT Scann
4)MRI
5)Fluoroscopy
6)Mamography

Inatolewa Muhimbili na Bugando tuu! Hapa Tz hamna degree ake labda RTT (Radiation therapy)

Ukimaliza kusoma miaka 3 unaajiliwa direct
Asante kwa maelezo
Carrier opportunities zake zipoje?ni serekalini tu?
Ningependa kufahamu pia
Accommodation pale MUHAS ipoje,na any info unayoona ya muhimu
 
Asante kwa maelezo
Carrier opportunities zake zipoje?ni serekalini tu?
Ningependa kufahamu pia
Accommodation pale MUHAS ipoje,na any info unayoona ya muhimu
Mkuu sio serikalini tu hata private mfano unaweza kuwa unasoma na unakijiwe unacho piga kazi na unalipwa vizuri kabisa bii ni kutokana na uhaba wa watu! Wengi serikalini huwa hawareport wanaishia kwenda private kwenye pesa watu wanalipwa hadi 1.2M per month......kifupi ajira zipo nje nje huko migodini na kwingineko

Kuhusu accomodation hapa Muhas inategemea hapa unasoma kama nani kama ni gvt sponsored utakaa chuon i mean kwenye hostel za chuo kama ni prvate utajitegemea but unaweza kuwa prvate na ukakaa kwenye hostel za chuo pia!
 
Mkuu sio serikalini tu hata private mfano unaweza kuwa unasoma na unakijiwe unacho piga kazi na unalipwa vizuri kabisa bii ni kutokana na uhaba wa watu! Wengi serikalini huwa hawareport wanaishia kwenda private kwenye pesa watu wanalipwa hadi 1.2M per month......kifupi ajira zipo nje nje huko migodini na kwingineko

Kuhusu accomodation hapa Muhas inategemea hapa unasoma kama nani kama ni gvt sponsored utakaa chuon i mean kwenye hostel za chuo kama ni prvate utajitegemea but unaweza kuwa prvate na ukakaa kwenye hostel za chuo pia!
Mkuu medical lab ipoje
 
Mkuu sio serikalini tu hata private mfano unaweza kuwa unasoma na unakijiwe unacho piga kazi na unalipwa vizuri kabisa bii ni kutokana na uhaba wa watu! Wengi serikalini huwa hawareport wanaishia kwenda private kwenye pesa watu wanalipwa hadi 1.2M per month......kifupi ajira zipo nje nje huko migodini na kwingineko

Kuhusu accomodation hapa Muhas inategemea hapa unasoma kama nani kama ni gvt sponsored utakaa chuon i mean kwenye hostel za chuo kama ni prvate utajitegemea but unaweza kuwa prvate na ukakaa kwenye hostel za chuo pia!
Qualification zake zipoje kwa diploma mh lete mambo mkuu
 
Mkuu sio serikalini tu hata private mfano unaweza kuwa unasoma na unakijiwe unacho piga kazi na unalipwa vizuri kabisa bii ni kutokana na uhaba wa watu! Wengi serikalini huwa hawareport wanaishia kwenda private kwenye pesa watu wanalipwa hadi 1.2M per month......kifupi ajira zipo nje nje huko migodini na kwingineko

Kuhusu accomodation hapa Muhas inategemea hapa unasoma kama nani kama ni gvt sponsored utakaa chuon i mean kwenye hostel za chuo kama ni prvate utajitegemea but unaweza kuwa prvate na ukakaa kwenye hostel za chuo pia!
Nikitumia cheti cha form four tu imekaaje apo?
Kuna diploma walio government sponsored?
 
Yaah vyote vinawezekana kikubwa uwe umefauru vizuri tuu haina shida na na ili uwe gvrt sponsored inategemea na wewe utakavyo omba
Samahani,Hapo umeniacha njiapanda uombaji wa gvt sponsored na wa pvt sponsored unatofautianaje?
 
Samahani,Hapo umeniacha njiapanda uombaji wa gvt sponsored na wa pvt sponsored unatofautianaje?
Chuo huwa kinatoa Application Form Mbili tofauti.....kuna Regular program hawa ada yao huwa ndogo na hupewa chumba katika hostel za chuo na kipindi chakula kinatolewa wlikuwa wanapewa! Pia katika hao hao regular kuna private pia lakini ada ni kubwa kidogo kuliko wale pure gvrt sponsored lakini naye anapewa chumba,na kipindi chakula kinatolewa wakuwa wanapewa na viping vyao ni sa 2 hadi sa 7

Kuna Pure Private ambao ni Executive program au Evening program hawa ada ni kubwa kuliko hao wote ni kama 1.5M na inazidi kupanda na chakula na malazi unajitegemea pamoja na hela field unajitegemea tofauti na wale pale juu ambao hela ya field wanapewa na serikali pia vpnd ni sa 8 hadi sa 3! Ila qualification ni zile zile kwa wote

So katika uombaji unavo chukua form unaangalia ni form gani unaichukua na kumbuka Hizo za gvrt huwa kuna compitition kubwa so na ufaulu humata....
 
Back
Top Bottom