Aldonae
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 598
- 393
Habari wakuu.
Nimemalza kdato cha 4, 2013, na nimescore div one ya 12 {A ya bios na math, zlozobak B+ kasoro civic ndo B}ila kutokana na matatzo ya kiafya nilisoma kwa miez miwili 2,mpaka juz kat hapo nilipopata nafuu.
So nataka kuaply muhas diploma. Kuna m2 kaniambia kwa matokeo yangu, diploma n miaka miwili. Je ni kweli ? vile vile anayefahamu ada naomba anijulishe.
Nimemalza kdato cha 4, 2013, na nimescore div one ya 12 {A ya bios na math, zlozobak B+ kasoro civic ndo B}ila kutokana na matatzo ya kiafya nilisoma kwa miez miwili 2,mpaka juz kat hapo nilipopata nafuu.
So nataka kuaply muhas diploma. Kuna m2 kaniambia kwa matokeo yangu, diploma n miaka miwili. Je ni kweli ? vile vile anayefahamu ada naomba anijulishe.