Naomba kufahamishwa tiba ya sauti kubana.

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Sauti yangu huwa inabana hasa nikiongea kwa muda, yaani inakuwa haitoki, inakuwa kama vile imezuiwa na makohozi isitoke. Tiba yake itakuwa ni ipi?
 
Vunja yai la kuku wa kienyeji unywe, na pia pata chumvi ya mawe uilambe kidogo dogo.
 
Back
Top Bottom