sirluta JF-Expert Member Nov 28, 2012 6,325 2,486 Aug 20, 2016 #1 Sauti yangu huwa inabana hasa nikiongea kwa muda, yaani inakuwa haitoki, inakuwa kama vile imezuiwa na makohozi isitoke. Tiba yake itakuwa ni ipi?
Sauti yangu huwa inabana hasa nikiongea kwa muda, yaani inakuwa haitoki, inakuwa kama vile imezuiwa na makohozi isitoke. Tiba yake itakuwa ni ipi?
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,649 112,774 Aug 20, 2016 #2 Oooh itakua nzuri mi napenda sauti za hivo, usiitibu iache
sirluta JF-Expert Member Nov 28, 2012 6,325 2,486 Aug 20, 2016 Thread starter #3 Evelyn Salt said: Oooh itakua nzuri mi napenda sauti za hivo, usiitibu iache Click to expand... hapana mimi huwa inanipa shida
Evelyn Salt said: Oooh itakua nzuri mi napenda sauti za hivo, usiitibu iache Click to expand... hapana mimi huwa inanipa shida
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,649 112,774 Aug 20, 2016 #4 sirluta said: hapana mimi huwa inanipa shida Click to expand... Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu
sirluta said: hapana mimi huwa inanipa shida Click to expand... Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu
sirluta JF-Expert Member Nov 28, 2012 6,325 2,486 Aug 20, 2016 Thread starter #5 Evelyn Salt said: Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu Click to expand... wanaume hatudeki tazomewa! Niambie dawa
Evelyn Salt said: Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu Click to expand... wanaume hatudeki tazomewa! Niambie dawa
KENZY JF-Expert Member Dec 27, 2015 26,215 56,855 Aug 20, 2016 #6 Evelyn Salt said: Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu Click to expand... Bila shaka nyota na mbalamwezi zingekuwa zako...!!
Evelyn Salt said: Sauti ya kudekea hiyo, ningeipata sijui tu Click to expand... Bila shaka nyota na mbalamwezi zingekuwa zako...!!
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,016 Aug 21, 2016 #7 Vunja yai la kuku wa kienyeji unywe, na pia pata chumvi ya mawe uilambe kidogo dogo.