Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Naomba kuambiwa chuo hicho kipo sehemu gani na kama ikiwezekana naomba contact nimejaribu kwny internet sijapata.. pia mwenye kujua mazingira yake yapoje anijuze tafadhali,mazngira yake ya kujifunza na kujifunzia.. nimepata nafasi hapo ya diploma ya pharmacy(ordinary diploma in pharmaceotical)