Caylar mwass
New Member
- May 20, 2019
- 1
- 0
Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
Kidato cha sitakidato cha nne
Hapana sifa kubwa awe amefika kidato cha nneKidato cha sita
Foundation Programme (OFP) ni kozi ya maandalizi kwa wanafunzi wa makundi matatu.Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
kidato cha nne kama alisoma certificate yeyote inatambuliwa na nacte bas anaweza kupiga foundation courseHapana sifa kubwa awe amefika kidato cha nne
Hapana sifa kubwa awe amefika kidato cha nne
Jibu hilo hapo Mtoa madaFoundation Programme (OFP) ni kozi ya maandalizi kwa wanafunzi wa makundi matatu.
1. Waliomaliza form 6 na hawakupata principal pass mbili zenye cutoff point ya 4. Ila wanaopaswa kuwa na walau principal pass moja na subsidiary moja (1.5 cutoff point)
2. Waliomaliza Diploma lakini hawajafikisha GPA ya 3.0 ila wawe na GPA inayoanzia 2.0.
3. Wanaohama profession moja kwenda nyingine. Mfano umesoma Diploma ya Education then unataka kusoma Bachelor ya Law ni profession mbili tofauti kabisa hivyo utapaswa kusoma kwanza Foundation Programme.
Mpaka mwaka 2016 vyuo karibu vyote vilikua na Foundation programme lakini ilifutwa na ikarudishwa mwaka 2018 ikiwa na vigezo tofauti kama nilivyoainisha hapo juu na Chuo Kikuu Huria kikapewa jukumu la kutoa programme hiyo ya Foundation.