mara kadhaa nimekuwa niki save namba ya mke wangu kwenye simu yangu kwa kuandika Idara ya Habari MAELEZO au SHIHATA kutokana na tabia ya kuuliza uliza maswali mengi kama muandishi wa habari, ''' uko wapo? unafanya nini? upo na nani? piga picha nitumie kwenye whatsapp nione upo na kina nani, utarudi saa ngapi? sasa imekuwa kero mpaka kagundua nilivyo save jina lake! wana JF naomben jina zuri la ku save toeni mawazo...............
Msave ZeMarcopolomara kadhaa nimekuwa niki save namba ya mke wangu kwenye simu yangu kwa kuandika Idara ya Habari MAELEZO au SHIHATA kutokana na tabia ya kuuliza uliza maswali mengi kama muandishi wa habari, ''' uko wapo? unafanya nini? upo na nani? piga picha nitumie kwenye whatsapp nione upo na kina nani, utarudi saa ngapi? sasa imekuwa kero mpaka kagundua nilivyo save jina lake! wana JF naomben jina zuri la ku save toeni mawazo...............
Ufoo saro
mara kadhaa nimekuwa niki save namba ya mke wangu kwenye simu yangu kwa kuandika Idara ya Habari MAELEZO au SHIHATA kutokana na tabia ya kuuliza uliza maswali mengi kama muandishi wa habari, ''' uko wapo? unafanya nini? upo na nani? piga picha nitumie kwenye whatsapp nione upo na kina nani, utarudi saa ngapi? sasa imekuwa kero mpaka kagundua nilivyo save jina lake! wana JF naomben jina zuri la ku save toeni mawazo...............