Bongo Trust
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 252
- 241
Wakuu kama post inavyo jieleza, mimi ni dereva wa Bajaj na Guta mkoa wa Njombe wilaya ya Makete na leseni ninayo. Ninauhitaji na guta la mkataba aina ya Sinoray Q7 kama hili nililoweka kwenye picha.
Dukani Guta hili linauzwa million sita na laki saba (6.7M) Mkataba utakuwa wa muda usio zidi mwaka mmoja na miezi mitano, marejesho yanakuwa ya kila wiki , yaani kila mwisho wa wiki (jumapili) nitakuwa napaswa kurejesha shilingi laki mbili ambapo inakuwa sawasawa na shilingi million 12 baada ya mkataba kuisha.
Kwa wale wanaotoa mikataba ya Bajaj njombe au mdau mwingine yeyote naomba anisaidie nipate Guta hili.
NB. Service zote ndani ya kipindi cha mkataba zitakuwa juu yangu.
Natanguliza shukran 🙏.
Dukani Guta hili linauzwa million sita na laki saba (6.7M) Mkataba utakuwa wa muda usio zidi mwaka mmoja na miezi mitano, marejesho yanakuwa ya kila wiki , yaani kila mwisho wa wiki (jumapili) nitakuwa napaswa kurejesha shilingi laki mbili ambapo inakuwa sawasawa na shilingi million 12 baada ya mkataba kuisha.
Kwa wale wanaotoa mikataba ya Bajaj njombe au mdau mwingine yeyote naomba anisaidie nipate Guta hili.
NB. Service zote ndani ya kipindi cha mkataba zitakuwa juu yangu.
Natanguliza shukran 🙏.