Wisdom youlth
Member
- Sep 14, 2011
- 73
- 17
- Thread starter
- #21
Salama wakuu...
asanteni kwa mashauri yenu nilienda hospital nikachukuliwa kipimo cha Damu na mkojo majibu yalipotoka nikaambiwa sina ugonjwa wowote
Doctaa akashauri nichukue ka tube ka kupaka kwenye kidonda,, cha ajabu ni nini naona haya maji maji yakigusa kwenye paja panatoka kitu ka kipele na hospital wanadai sina ugonjwa wowote..
asanteni kwa mashauri yenu nilienda hospital nikachukuliwa kipimo cha Damu na mkojo majibu yalipotoka nikaambiwa sina ugonjwa wowote
Doctaa akashauri nichukue ka tube ka kupaka kwenye kidonda,, cha ajabu ni nini naona haya maji maji yakigusa kwenye paja panatoka kitu ka kipele na hospital wanadai sina ugonjwa wowote..