Habari zenu wana jukwaa.
Napenda kuwataarifu kuwa natarajia kufunga ndoa hivi karibuni. Natumia hii thread maalum kabisa kwa kuomba msaada wenu. Tafadhali kama kuna member yeyote anaweza nijulisha haya nitashukuru sana.
- Ni wapi hapa Dar naweza pata gari za kukodi kwa ajili ya maharusi?
- Ni wapi naweza kupata magauni mazuri ya bi harusi kwa ajili ya kukodi ama kununua?
- Ni wapi naweza kupata suti nzuri kwa ajili ya bwana harusi? (Kuna mdau mmoja aliweka tangazo la suti na akatoa namba lakini nilipompigia alikuwa hapatikani - ila nipo bado kwenye mchakato wa kumtafuta).
*Pia kama kuna mtu ana ushauri juu ya hayo ninayotafuta nitashukuru.
Natanguliza Shukrani.
Chicco.
Napenda kuwataarifu kuwa natarajia kufunga ndoa hivi karibuni. Natumia hii thread maalum kabisa kwa kuomba msaada wenu. Tafadhali kama kuna member yeyote anaweza nijulisha haya nitashukuru sana.
- Ni wapi hapa Dar naweza pata gari za kukodi kwa ajili ya maharusi?
- Ni wapi naweza kupata magauni mazuri ya bi harusi kwa ajili ya kukodi ama kununua?
- Ni wapi naweza kupata suti nzuri kwa ajili ya bwana harusi? (Kuna mdau mmoja aliweka tangazo la suti na akatoa namba lakini nilipompigia alikuwa hapatikani - ila nipo bado kwenye mchakato wa kumtafuta).
*Pia kama kuna mtu ana ushauri juu ya hayo ninayotafuta nitashukuru.
Natanguliza Shukrani.
Chicco.