Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,329
- 33,138
okey....kweli lakini...
Kila shetani na mbuyu wake....Lakin nini........
Linamgusa mh wa CCM
Kila shetani na mbuyu wake....
ha ha ha wewe ulikimbia darasa la kiswahili la nahau na methali ehhh...Yaani mi hizi misemo hizi sielewagi kitu ujue
ha ha ha wewe ulikimbia darasa la kiswahili la nahau na methali ehhh...
Kila shetani na mbuyu wake>>>> kuna that special person that you would fall hard in love for....Kama wewe unavyomfeel my borther figganigga....
Hahaaa hapo nimeelewa sasa..........
Leo kule emu emu you sijisikii kuingia nimeshinda huku tu
Haahahahaha usielewe na umetajiwa mupenzi lol
hahaaaaa farkhina una utani na mimi wewe tena utani wa ngumi lol!!!!!!!
Shetani akizeeka anakuwa Malaika