Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Kumekuwa na mijadala mingi sana humu MMU kuhusu kuvunjika kwa ndoa,wapenzi kuachana,kusalitiwa na kusaliti,kupigwa kibuti na yote haya ni matokeo ya mahusiano ya watu wa aina mbili tofauti yaani MWANANAMKE na MWANAUME leo nataka nijue ratio ya nani anaongoza kwa kusababisha mahusiano yafike mwisho.Tukianza na mimi mi naona kwa hapa Tz wanaume ndio source kubwa kufanya mahusiano yafike mwisho.Asilimia za usababishi nazoweza kutoa ni 70%wanaume na 30% kwa wanawake.je wewe unaonaje?