jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari wana Jf.
Kama tunavyo fahamu wanaume tunakuwa busy sana na maswala ya utafutaji kwaajili ya kujenga uchumi na kuwatunza tuwapendao pia ifahamike wazi tukirudi maghetoni / nyumbani unakuta tumechoka sana na wakati mwingine kula au kuoga inakuwa ni kazi sana.
Sasa ndugu kwa vijana/ wanaume tulio na wapenzi wa kike/ wanawake inatuwia ugumu sana wakati mwingine kuwa na simu na kuwatafuta mara kwa mara wapenzi wetu tuwapendao .
Na hii ni kutokana na kuwa busy sana na kazi na kuchoka sana mbaya kabisa unakuta na wewe mwanamke wako ka mute tuu hana habari na wewe kabisa hata kukuuliza kama umekula au kupewa pole na mihangaiko ya siku nzima hakuna
Unalala na kujiamsha mwenyewe bila salamu wala nini kutoka kwa mwanamke wako.
Je, ni nani anapaswa sana kugharamikia mahusiano ili ya dumu zaidi kwa kujitoa kwake na kuweka muda wa kutosha kwa mwezake kwa kuzingatia mahusiano ya sasa hayana afya na wanawake wengi wanadai hamsini kwa hamsini ?
Kama tunavyo fahamu wanaume tunakuwa busy sana na maswala ya utafutaji kwaajili ya kujenga uchumi na kuwatunza tuwapendao pia ifahamike wazi tukirudi maghetoni / nyumbani unakuta tumechoka sana na wakati mwingine kula au kuoga inakuwa ni kazi sana.
Sasa ndugu kwa vijana/ wanaume tulio na wapenzi wa kike/ wanawake inatuwia ugumu sana wakati mwingine kuwa na simu na kuwatafuta mara kwa mara wapenzi wetu tuwapendao .
Na hii ni kutokana na kuwa busy sana na kazi na kuchoka sana mbaya kabisa unakuta na wewe mwanamke wako ka mute tuu hana habari na wewe kabisa hata kukuuliza kama umekula au kupewa pole na mihangaiko ya siku nzima hakuna
Unalala na kujiamsha mwenyewe bila salamu wala nini kutoka kwa mwanamke wako.
Je, ni nani anapaswa sana kugharamikia mahusiano ili ya dumu zaidi kwa kujitoa kwake na kuweka muda wa kutosha kwa mwezake kwa kuzingatia mahusiano ya sasa hayana afya na wanawake wengi wanadai hamsini kwa hamsini ?