Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
Apr 27, 2006
26,588
10,375
Wakuu wote heshima mbele sana,

- Ni muda sasa tumekua kwenye hizi blogs, tukijaribu kwa njia moja au nyingine kulisaidia mawazo taifa letu ili liweze kujua ubovu wa mawazo na vitendo vya viongozi wetu ulipo, ubovu wa mawazo na vitendo vyetu wananchi katika kuchangia hali mbaya ya matatizo ya maendeleo ya taifa letu.

- Sio siri na wengi mtakubaliana na mimi kwamba katika blogs nyingi sana ndani ya mtandao, yaani Internent kwa ujumla, hizi blogs mbili za JF na Michuzi Jamii, ndiyo zinazoongoza kwa kuwa na watumiaji wengi kuliko blogs zingine, na sio siri kwamba vijana wawili Mwanakijiji kutoka JF Kumkoma Nyani na John Mashaka kutoka kwa Balozi nanihio ndio wanaweza kuwajibika kama viongozi wa mawazo wa hizi blogs.

- Sasa Tanzania ni nchi ya kibepari, sio ya kijamaa tena, na uti wa mgongo wa ubepari ni Competition among the participants wa ubepari huo, yaani in Tanzania's case sisi wananchi, ambao baadhi yetu ni members wa hizi blogs, sasa ufike wakati tupime mafanikio na mapungufu yetu kwa facts na dataz ikibidi, je kati ya hawa mabingwa wawili wa itikadi za maendeleo, yaani Mwanakijiji na John Mashaka nani ni zaidi kwa kuwa na vision inayoweza kulisaidia taifa letu kusonga mbele? au kufichua matatizo sugu ya taifa letu?

- Na je ni blog ipi kati ya hizi mbili inayowafikia wanachi wengi zaidi na hivyo ku-make not only a difference in their thinking, lakini hata making a sense kuhusu taifa letu? Naomba tuchangie huku tukijali facts, dataz na hasa wananchi wa Tanzania na masilahi ya taifa letu mbele, I mean I do not care what somebody is better than the other, sasa ni wakati wa kutoa salute kwa bingwa kama kweli tunataka kusonga mbele kupitia njia ya ubepari! na pia kujirekebisha in the process!

Respect na Mungu Aibariki Tanzania, na hasa JF Kumkoma Nyani, Where We Dare!

Field Marshall Es! Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
 
FMES leo kimekutokea nini mazee? Hivi kweli unaweza kumlinganisha John Mashaka na mwanachama yoyote makini wa JF?. You can't be serious man? I mean, are you for real or you're just playing?

Mimi nikiona jina tu la huyo John Mashaka kwenye article yoyote ile nakuwa na mashaka nayo. FMES, please tell me it ain't so...
 
FMES leo kimekutokea nini mazee? Hivi kweli unaweza kumlinganisha John Mashaka na mwanachama yoyote makini wa JF?. You can't be serious man? I mean, are you for real or you're just playing?

Mimi nikiona jina tu la huyo John Mashaka kwenye article yoyote ile nakuwa na mashaka nayo. FMES, please tell me it ain't so...
aliepost sio kamanda FMES wa siku zoote....huyu mwingine.....
 
kuandika kingereza hata mtoto wa miaka mitano anaweza.....hivi nyie huwa mnasoma upupu wa mashaka?
 
kuandika kingereza hata mtoto wa miaka mitano anaweza.....hivi nyie huwa mnasoma upupu wa mashaka?

Mara nyingi huwa simalizi kuzisoma article zake, huwa ni very ndefu kwakweli, labda awe anafupisha maneno awe analenga kwenye point moja kwa moja.

Ila maadam yeye na mwanakijiji lengo lao ni moja yaani kusaidia ujenzi wa taifa na jamii yetu, basi sidhani kama kuna haja ya kujadili nani zaidi manake tunachotaka sisi ni mawazo endelevu.
 
Mashaka ni coward wa CCM. Mwanakijiji anatumiwa na watu ndani ya CCM wasioipenda hii Serikali. Kwa hiyo, hao Waheshimiwa wote uliowataja ni Vibaraka vya CCM.
 
Wakuu wote heshima mbele sana,

- Ni muda sasa tumekua kwenye hizi blogs, tukijaribu kwa njia moja au nyingine kulisaidia mawazo taifa letu ili liweze kujua ubovu wa mawazo na vitendo vya viongozi wetu ulipo, ubovu wa mawazo na vitendo vyetu wananchi katika kuchangia hali mbaya ya matatizo ya maendeleo ya taifa letu.

- Sio siri na wengi mtakubaliana na mimi kwamba katika blogs nyingi sana ndani ya mtandao, yaani Internent kwa ujumla, hizi blogs mbili za JF na Michuzi Jamii, ndiyo zinazoongoza kwa kuwa na watumiaji wengi kuliko blogs zingine, na sio siri kwamba vijana wawili Mwanakijiji kutoka JF Kumkoma Nyani na John Mashaka kutoka kwa Balozi nanihio ndio wanaweza kuwajibika kama viongozi wa mawazo wa hizi blogs.

- Sasa Tanzania ni nchi ya kibepari, sio ya kijamaa tena, na uti wa mgongo wa ubepari ni Competition among the participants wa ubepari huo, yaani in Tanzania's case sisi wananchi, ambao baadhi yetu ni members wa hizi blogs, sasa ufike wakati tupime mafanikio na mapungufu yetu kwa facts na dataz ikibidi, je kati ya hawa mabingwa wawili wa itikadi za maendeleo, yaani Mwanakijiji na John Mashaka nani ni zaidi kwa kuwa na vision inayoweza kulisaidia taifa letu kusonga mbele? au kufichua matatizo sugu ya taifa letu?

- Na je ni blog ipi kati ya hizi mbili inayowafikia wanachi wengi zaidi na hivyo ku-make not only a difference in their thinking, lakini hata making a sense kuhusu taifa letu? Naomba tuchangie huku tukijali facts, dataz na hasa wananchi wa Tanzania na masilahi ya taifa letu mbele, I mean I do not care what somebody is better than the other, sasa ni wakati wa kutoa salute kwa bingwa kama kweli tunataka kusonga mbele kupitia njia ya ubepari! na pia kujirekebisha in the process!

Respect na Mungu Aibariki Tanzania, na hasa JF Kumkoma Nyani, Where We Dare!

Field Marshall Es! Ni Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

Bwana Umeme'
All protocol observed,

Ni vigumu kulinganisha hawa wawili; Kama Kuku na mayayi; Ni vigumu kwasababu hizi

  • Mwanakijiji hajatokea publicly hivyo dataz na facts haziwezi kuoana
  • Mwanakijiji huwa anakemea, anaelekeza
  • Mwanakijiji hajulikani kama ni mzee au kijana!
  • Mwanakijiji sio jina lake halisi!
Tutaendelea....
 
- Wakuu masilahi ya taifa mbele kwanza, vipi kwenye kulisaidia taifa letu nani kati yao ni jabali zaidi, na hizi blogs ipi ni bora zaidi?

- Wakulu wote huko juu ninawasikia sana, lakini lets put things where they belong, nani zaidi katika kuelimisha taifa, katika kuyaanika wazi matatizo ya taifa letu? Je katika hizi blogs ipi ni huru zaidi katika kuzingatia demokrasia yaani uhuru wa maoni?

- Ninaamini kwamba wote ni vijana, yaani MMJ na Mashaka, kwa sababu ukisoma fimbo zao siku zote kihistoria ya taifa letu huwa haziendi mbali sana, ndio maana ninasema hivi tuweke wazi hapa nani bingwa ili aendeleze libeneke zaidi, na blog ipi kali zaidi ili iendeleze libeneke zaidi, na watakaoshindwa basi ni wakati muafaka kujirekebisha.

- Tunatata kiongozi wa Blogs, tena kwa facts na dataz unajua nimechoshwa sana na vijembe vijembe kila kukicha mara huku vijembe mara kule vijembe, sasa tuweke ngoma chini, nani bingwa somebody is tukimaliza kusiwe na ishus tena, ila wote tu-focus na taifa huku tukijua kiongozi ni nani.

- Na ninasema hivi I am looking forward kuchangisha hela za kutafuta zawadi maalum ya mshindi wa hili shindano, mimi mwenyewe naweka chini dola 200 za kuanzia, na ninaahidi atakayeshinda hata kama ni Mashaka atapewa zawadi yake, lakini tufike mahali tache vijembe na tu-focus on our nation kwa kushirikiiana huku tukijua nani ni kiongozi wa mapambano na ni blog gani ni kiongozi wa mapambano haya.

Respect.

Field Marshall Es!
 
- Na ninasema hivi I am looking forward kuchangisha hela za kutafuta zawadi maalum ya mshindi wa hili shindano, mimi mwenyewe naweka chini dola 200 za kuanzia, na ninaahidi atakayeshinda hata kama ni Mashaka atapewa zawadi yake, lakini tufike mahali tache vijembe na tu-focus on our nation kwa kushirikiiana huku tukijua nani ni kiongozi wa mapambano na ni blog gani ni kiongozi wa mapambano haya.

Respect.

Field Marshall Es!

wewe nae bana peleka hizo pesa kwa watoto yatima.....this is one of idiotic thread i ever seen here JF
 
Achana na ubishi wa kizamani. Huo ubishi wa Simba na Yanga ushapitwa na wakati.
 
I will tell you this.

I almost branded this thread "idiocracy", lakini nikaona in his own simpleton way FMES anaweza kuwa na justification.Ni vigumu indeed kuwalinganisha wawili hawa.Lakini nikijaribu kwa harakaharaka naona.

-Mwanakijiji ana website, kijarida na a storied resume inayohusisha podcast na uandishi katika magazeti ya nyumbani.John Mashaka ni mchangiaji tu, sijaona website wala podcast yake.Right there Mwanakijiji can argue to lead while John Mashaka is most probably a reactionary if not downright follower.

-Mwanakijiji amejihusisha katika kazi za humanitarianism na philantrophy Tanzania bila kutaka ujiko personally kwenye mitandao.To me this is the height of charity

-Mwanakijiji amefanya showdown na PM Lowassa mpaka PMO ikaona haja ya kujibizana naye katika saga la "kisungura", just to pick one example.Sijaona John Mashaka akiwashikisha adabu mafisadi wala kutoa mchango wenye influence to the general public kiasi cha PMO kujibizana naye.

-Wanavyomhara Mwanakijiji naona sasa wanamuandalia Tambwe Hiza, najua Mzee wa Motown anawatungia sheria tu, mara anaangalia Greek philosophy kutoka kwa Plato, mara anaangalia African humanism, mara anadraw from his religious convictions, mara ananyonya wisdom ya JF, mara ana consult with the omnipresent ki-nzi, basi almuradi akitoka hapo -kama kutakuwa na haja ya kuwajibu- ni nuclear explosion.John Mashaka ni pretentious wannabe kutoka Charlotte ambako hakuna Wall St (the kindergatten between an estuary and a cemetery), anatoka Wall St hata wabongo wa Wall St (the actual Street, not some fake place in South Carolina, I know both places very well the later is an up and coming backwater while the former is the "need no introduction" storied home of the exchange ) hawamjui. Mwanakijiji never had a reason to pad his resume with some dubious credentials.That alone teels a lot about a person's confidence and ability.
 
Last edited:
huyu jamaa chiz sana yaani jf ulinganishe na michuzi? au mwana village umlinganishe na mashaka? BANGI ZINGINE BWANA!!
 
I will tell you this.

I almost branded this thread "idiocracy", lakini nikaona in his own simpleton way FMES anaweza kuwa na justification.Ni vigumu indeed kuwalinganisha wawili hawa.Lakini nikijaribu kwa harakaharaka naona.

-Mwanakijiji ana website, kijarida na a storied resume inayohusisha podcast na uandishi katika magazeti ya nyumbani.John Mashaka ni mchangiaji tu, sijaona website wala podcast yake.Right there Mwanakijiji can argue to lead while John Mashaka is most probably a reactionary if not downright follower.

-Mwanakijiji amejihusisha katika kazi za humanitarianism na philantrophy Tanzania bila kutaka ujiko personally kwenye mitandao.To me this is the height of charity

-Mwanakijiji amefanya showdown na PM Lowassa mpaka PMO ikaona haja ya kujibizana naye katika saga la "kisungura", just to pick one example.Sijaona John Mashaka akiwashikisha adabu mafisadi wala kutoa mchango wenye influence to the general public kiasi cha PMO kujibizana naye.

-Wanavyomhara Mwanakijiji naona sasa wanamuandalia Tambwe Hiza, najua Mzee wa Motown anawatungia sheria tu, mara anaangalia Greek philosophy kutoka kwa Plato, mara anaangalia African humanism, mara anadraw from his religious convictions, mara ananyonya wisdom ya JF, mara ana consult with the omnipresent ki-nzi, basi almuradi akitoka hapo -kama kutakuwa na haja ya kuwajibu- ni nuclear explosion.John Mashaka ni pretentious wannabe kutoka Charlotte ambako hakuna Wall St, anatoka Wall St hata wabongo wa Wall St (the actual Street, not some fake place in South Carolina, I know both places very well the later is an up and coming backwater while the former is the "need no introduction" storied home of the exchange ) hawamjui. Mwanakijiji never had a reason to pad his resume with some dubious credentials.That alone teels a lot about a person's confidence and ability.

- Thanks mkuu hoja nzito sana,

Respect.

FMES!
 
Sidhani kama unaweza kulinganisha hizi blog mbili. Kwanza moja ni forum which requires membership, the other is a blog which any person (including impersonators) can post articles and comments. JF has some reputable members eg: Dr Slaa, nk, while it's arguable that Michuzi blog has no members but viewers/commentators.

Pili hawa watu wawili wana-motive tofauti. Mmoja ni mwanaharakati/mwandishi, aliye na forum yake hadi podcasts. Mwingine ana profession yake na kitu anachofanya ni kuandika articles once in a while. Sasa utaweza kuwalinganisha hawa kweli? I think this is more of umbea than a competition.
Labda upime impact yao. But this wld depend what that means. JF ina news nyingi pamoja na ripoti za siri. But has it had impact? Michuzi blog inasambaza 'habari' kwa wingi pia. Pia target za news zao ni toafuti. So i would imagine their impact is also different.
 
Mkuu yaani Michuzi unalinganisha na JF???? na naona unaishusha hadhi sasa JF hii ni forums na Michuzi ni blog tu mkuu.
 
1-jf sio blogu!it is more than that bana!ni kama unapolinganisha kiwango cha cristiano ronaldo na mrisho ngassa!
2-mkjj ''is the special-one'',huyo mwingine hana taste kabisa.

nb:i never read blogs mimi!kuna mtu humuhumu huwa namwomba hizo anwani ananitumia ndipo napitia kitu ambacho naona kinajadiliwa humu kipo kule!

Shindano ni zuri lakini washindani wapo kwenye levels mbili tofauti sana
 
I will tell you this.

I almost branded this thread "idiocracy", lakini nikaona in his own simpleton way FMES anaweza kuwa na justification.Ni vigumu indeed kuwalinganisha wawili hawa.Lakini nikijaribu kwa harakaharaka naona.

-Mwanakijiji ana website, kijarida na a storied resume inayohusisha podcast na uandishi katika magazeti ya nyumbani.John Mashaka ni mchangiaji tu, sijaona website wala podcast yake.Right there Mwanakijiji can argue to lead while John Mashaka is most probably a reactionary if not downright follower.

-Mwanakijiji amejihusisha katika kazi za humanitarianism na philantrophy Tanzania bila kutaka ujiko personally kwenye mitandao.To me this is the height of charity

-Mwanakijiji amefanya showdown na PM Lowassa mpaka PMO ikaona haja ya kujibizana naye katika saga la "kisungura", just to pick one example.Sijaona John Mashaka akiwashikisha adabu mafisadi wala kutoa mchango wenye influence to the general public kiasi cha PMO kujibizana naye.

-Wanavyomhara Mwanakijiji naona sasa wanamuandalia Tambwe Hiza, najua Mzee wa Motown anawatungia sheria tu, mara anaangalia Greek philosophy kutoka kwa Plato, mara anaangalia African humanism, mara anadraw from his religious convictions, mara ananyonya wisdom ya JF, mara ana consult with the omnipresent ki-nzi, basi almuradi akitoka hapo -kama kutakuwa na haja ya kuwajibu- ni nuclear explosion.John Mashaka ni pretentious wannabe kutoka Charlotte ambako hakuna Wall St, anatoka Wall St hata wabongo wa Wall St (the actual Street, not some fake place in South Carolina, I know both places very well the later is an up and coming backwater while the former is the "need no introduction" storied home of the exchange ) hawamjui. Mwanakijiji never had a reason to pad his resume with some dubious credentials.That alone teels a lot about a person's confidence and ability.

- Strong point hapo kwenye nyekundu!, wasomi wa internent bwana tunafurahisha sana, inapokuja masuala ya dini, ukabila, na ushindani wa kweli wa mawazo, tumeshindwa kabisaa ku-deal na hizi ishus kistaarabu, you wonder kama elimu yetu tumepewa na mipaka maana we do not seem to be able kujadili ishus kama hizi bila ya matusi, au kuonyesha uwezo wetu wa kufikiri unapaonzia na kuishia,

- Mkulu Bluray siku zote una-stand tall na hoja

Respect.

FMEs!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom