Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
Hata mimi, hata wewe, hata yule, hata sisi, hata nyie, hata wale hata........hatuwezi kujilinganisha na Mzee Mwanakijiji!!!! Ni hero ambaye amejaribu hata ku-risk maisha yake kuandika uozo na maovu ya nchi hii na vibaraka wake. Wengine hatujathubutu, tuko hapa kwenye net tukijificha na majina ya utata. Huwa ninajiuliza hivi huyu Mzee Mwanakijiji alipata wapi hiki kipaji cha uandishi na kupata evidence kiasi hicho??? He is a man of men!!! Let us repect him even more and accord him necessary support. Keep it up Mkuu.
 
michuzi ni albamu na JF ni kitabu
michuzi ni albamu
ukitaka picha za birthday ya mtoto, vekesheni, ccm numbari one, kanga party, miss nanii, picha za michezo na picha mbali mbali nenda kwa michuzi
michuzi inafungamana na ccm
JF ni kitabu
ukitaka vitu kama meremeta, kagoda, ufisadi wa sehemu fulani, elimu, technology utavipata humu JF. hivi vitu uwezi kuvipata kwa michuzi milele.
kitaabu hichi kina vitu kama sehemu za celebrity, za muziki na michezo...
JF haifungamani na upande wowote
 
- Wakuu masilahi ya taifa mbele kwanza, vipi kwenye kulisaidia taifa letu nani kati yao ni jabali zaidi, na hizi blogs ipi ni bora zaidi?
..true maslahi ya Taifa mbele kwanza......bado najiuliza lengo la kutafuta ubora wa nani zaidi ni lipi..........

- Wakulu wote huko juu ninawasikia sana, lakini lets put things where they belong, nani zaidi katika kuelimisha taifa, katika kuyaanika wazi matatizo ya taifa letu? Je katika hizi blogs ipi ni huru zaidi katika kuzingatia demokrasia yaani uhuru wa maoni?

...kwanza JF sio "BLOG".....pili kule kwa Michuzi maoni hayatokei mpaka Michuzi mwenyewe aone na aruhusu, wakati JF maoni yanatoka on the spot

- Ninaamini kwamba wote ni vijana, yaani MMJ na Mashaka, kwa sababu ukisoma fimbo zao siku zote kihistoria ya taifa letu huwa haziendi mbali sana, ndio maana ninasema hivi tuweke wazi hapa nani bingwa ili aendeleze libeneke zaidi, na blog ipi kali zaidi ili iendeleze libeneke zaidi, na watakaoshindwa basi ni wakati muafaka kujirekebisha.

.....really.....age ain't nothing.........mawazo "mazuri" ya wanayoyatoa hao watu.........wale wenye akili watayafanyia kazi....mazobe wataona "upinzani"........
vita hii kila mtu na-play kwa style yake, na ndio maana sijaelewa lengo la hii "nani zaidi"....ingawa wote hutumia kalamu na internet....yet these two (in my opinion) differ in mnay ways.........

- Tunatata kiongozi wa Blogs, tena kwa facts na dataz unajua nimechoshwa sana na vijembe vijembe kila kukicha mara huku vijembe mara kule vijembe, sasa tuweke ngoma chini, nani bingwa somebody is tukimaliza kusiwe na ishus tena, ila wote tu-focus na taifa huku tukijua kiongozi ni nani.

- Na ninasema hivi I am looking forward kuchangisha hela za kutafuta zawadi maalum ya mshindi wa hili shindano, mimi mwenyewe naweka chini dola 200 za kuanzia, na ninaahidi atakayeshinda hata kama ni Mashaka atapewa zawadi yake, lakini tufike mahali tache vijembe na tu-focus on our nation kwa kushirikiiana huku tukijua nani ni kiongozi wa mapambano na ni blog gani ni kiongozi wa mapambano haya.

Respect.

Field Marshall Es!

...alah kumbe kuna vita vya vijembe......Kamanda FMES....vijembe=mipasho....
 
- Wakuu masilahi ya taifa mbele kwanza, vipi kwenye kulisaidia taifa letu nani kati yao ni jabali zaidi, na hizi blogs ipi ni bora zaidi?

- Wakulu wote huko juu ninawasikia sana, lakini lets put things where they belong, nani zaidi katika kuelimisha taifa, katika kuyaanika wazi matatizo ya taifa letu? Je katika hizi blogs ipi ni huru zaidi katika kuzingatia demokrasia yaani uhuru wa maoni?

- Ninaamini kwamba wote ni vijana, yaani MMJ na Mashaka, kwa sababu ukisoma fimbo zao siku zote kihistoria ya taifa letu huwa haziendi mbali sana, ndio maana ninasema hivi tuweke wazi hapa nani bingwa ili aendeleze libeneke zaidi, na blog ipi kali zaidi ili iendeleze libeneke zaidi, na watakaoshindwa basi ni wakati muafaka kujirekebisha.

- Tunatata kiongozi wa Blogs, tena kwa facts na dataz unajua nimechoshwa sana na vijembe vijembe kila kukicha mara huku vijembe mara kule vijembe, sasa tuweke ngoma chini, nani bingwa somebody is tukimaliza kusiwe na ishus tena, ila wote tu-focus na taifa huku tukijua kiongozi ni nani.

- Na ninasema hivi I am looking forward kuchangisha hela za kutafuta zawadi maalum ya mshindi wa hili shindano, mimi mwenyewe naweka chini dola 200 za kuanzia, na ninaahidi atakayeshinda hata kama ni Mashaka atapewa zawadi yake, lakini tufike mahali tache vijembe na tu-focus on our nation kwa kushirikiiana huku tukijua nani ni kiongozi wa mapambano na ni blog gani ni kiongozi wa mapambano haya.

Respect.

Field Marshall Es!

wtf!!! grrrrrrrrrrrrrrrr!

kwi kwi kwi kwi kwi....duuuhh
 
Hiii haina maana sababu haijengi msingi wowote kwa jamii yetu......naikiria tuweke mada zenye akili ajili maendeleo ya jamii,siasa,kujua haki zetu,wajibu na hata elimu na ufahamu wa elimu uraia.....etc....
 
Hata mimi, hata wewe, hata yule, hata sisi, hata nyie, hata wale hata........hatuwezi kujilinganisha na Mzee Mwanakijiji!!!! Ni hero ambaye amejaribu hata ku-risk maisha yake kuandika uozo na maovu ya nchi hii na vibaraka wake. Wengine hatujathubutu, tuko hapa kwenye net tukijificha na majina ya utata. Huwa ninajiuliza hivi huyu Mzee Mwanakijiji alipata wapi hiki kipaji cha uandishi na kupata evidence kiasi hicho??? He is a man of men!!! Let us repect him even more and accord him necessary support. Keep it up Mkuu.
Bravo Mkuu Maane,well welll welll well said !!!!!!!!!!!!!!!! hongera sana umepiga msumari panapostahili, maana ulivyotusimanga ni stahili kabisa, ukweli wengi wetu ndivyo tulivyo.Lakini tujipe moyo duniani heroes huwa ni wa kuhesabu katika kila jamii.
 
Mara nyingi huwa simalizi kuzisoma article zake, huwa ni very ndefu kwakweli, labda awe anafupisha maneno awe analenga kwenye point moja kwa moja.

Ila maadam yeye na mwanakijiji lengo lao ni moja yaani kusaidia ujenzi wa taifa na jamii yetu, basi sidhani kama kuna haja ya kujadili nani zaidi manake tunachotaka sisi ni mawazo endelevu.
Tukia anza kutafuta nani zaidi sijui kama itatusaidia....Cha msingi tuendeleze vita kupigania Taifa letu...
 
Jamani mimi nadhani hakuna haja ya kupimana kwamba nani zaidi, unaweza kutoa michango mingi lakini siyo yote ni "bora" , kwa hiyo naona si vizuri sana kuwapima hawa watu wao wenyewe watajipima.
 
Wakuu wote heshima mbele sana,



A- Ni muda sasa tumekua kwenye hizi blogs, tukijaribu kwa njia moja au nyingine kulisaidia mawazo taifa letu ili liweze kujua ubovu wa mawazo na vitendo vya viongozi wetu ulipo, ubovu wa mawazo na vitendo vyetu wananchi katika kuchangia hali mbaya ya matatizo ya maendeleo ya taifa
letu.





I beg to differ
  • Kujua ubovu wa mawazo na vitendo vya viongozi wetu hakusaidii kubadilisha mawazo, ya (sasa tumekuwa) au mawazo yanayotaka kujua ubovu.
  • Vitendo, na sio vitendo vyote huchangia hali mbaya ya matatizo ya maendeleo ya Taifa letu.
B-Sio siri na wengi mtakubaliana na mimi kwamba katika blogs nyingi sana ndani ya mtandao, yaani Internent kwa ujumla, hizi blogs mbili za JF na Michuzi Jamii, ndiyo zinazoongoza kwa kuwa na watumiaji wengi kuliko blogs zingine, na sio siri kwamba vijana wawili Mwanakijiji kutoka JF Kumkoma Nyani na John Mashaka kutoka kwa Balozi nanihio ndio wanaweza kuwajibika kama viongozi wa mawazo wa hizi blogs.



Kwa ujumla ujumla hapa, hiyo ya hawa jamaa kuwa viongozi wa blogs zote ni -haiwezekani -kwa sababu sio kweli JF ni blog wakati Michuzi ni blog.

Sikubaliani na wewe hapa. Blogs zote sio JF au Michuzi.


Sikubaliani, kwa vile sio siri kuwa hivi viwili vinatofautiana(blogs and forums)
Sikubaliani kwa kuwa kielelezo B hakiendani na Kielelezo C



C-Sasa Tanzania ni nchi ya kibepari, sio ya kijamaa tena, na uti wa mgongo wa ubepari ni Competition among the participants wa ubepari huo, yaani in Tanzania's case sisi wananchi, ambao baadhi yetu ni members wa hizi blogs, sasa ufike wakati tupime mafanikio na mapungufu yetu kwa facts na dataz ikibidi, je kati ya hawa mabingwa wawili wa itikadi za maendeleo, yaani Mwanakijiji na John Mashaka nani ni zaidi kwa kuwa na vision inayoweza kulisaidia taifa letu kusonga mbele? au kufichua matatizo sugu ya taifa letu?




  • Kwasababu Tanzania sio nchi ya kijamaa tena , hakuna maana Tanzania ni nchi ya kibepari na kinyume chake.
  • Bado matatizo sugu ya Taifa letu hayaangukii moja kwa moja kwa ubepari au ujamaa blia kubadilisha kielelezo A
D-Na je ni blog ipi kati ya hizi mbili inayowafikia wanachi wengi zaidi na hivyo ku-make not only a difference in their thinking, lakini hata making a sense kuhusu taifa letu? Naomba tuchangie huku tukijali facts, dataz na hasa wananchi wa Tanzania na masilahi ya taifa letu mbele, I mean I do not care what somebody is better than the other, sasa ni wakati wa kutoa salute kwa bingwa kama kweli tunataka kusonga mbele kupitia njia ya ubepari! na pia kujirekebisha in the process!




  • Kielelezo B+D=A
  • Hard Facts and Dataz?
Nimejikerebisha,
Ahsante

 
- Okay, so far naona wengi tunakubaliana kwamba Mwanakijiji ndiye bingwa kuliko John Mashaka, meaning kwamba Mwanakijiji ndiye undisputed king wa siasa za online na kwamba from now on anayo our mandate yetu, yaani wananchi wote wa Online Political Activism na kwamba kwenye ishu nyingi muhimu za taifa, kama hakuna hoja nzito ya kumpinga automatically anakuwa anatuongelea wote kutoka Online Politics, ninasema kwenye kila mkusanyiko lazima kuwe na kiongozi,

- Kuna ishu moja ambayo sikuona inachangiwa ya kutosha, je ni ipi blog zaidi ya nyingine kati ya Michuzi na JF Kumkoma Nyani? Ninasema tuntaka undisputed leader katika hizi shuguli sio kulalalama tu bila uongozi.

- Halafu wewe mkuu huko juu, hivi kwa nini usichukue time-off na hizi internent ukapumzika japo siku mbili, mkuu this thing is wearing you down, I mean ni ushauri wa bure tu this 24/7 Online Syndrome is taking you down bro!

Respect.

FMEs!
 
- ...meaning kwamba Mwanakijiji ndiye undisputed king wa siasa za online na kwamba from now on anayo our mandate yetu, yaani wananchi wote wa Online Political Activism na kwamba kwenye ishu nyingi muhimu za taifa, kama hakuna hoja nzito ya kumpinga automatically anakuwa anatuongelea wote kutoka Online Politics...

Respect.

FMEs!

???????????????
 
ES;

The fact kuwa Michuzi ameanza kuiita BLOG yake BLOG YA JAMII. Wakati anajua wazi kuwa kuna jamiiforums ambayo imesajiliwa kihalali INAONYESHA WAZI KUWA JAMIIFORUMS IPO JUU.

Na anachofanya kwa kuiita blog ya jamii ni kuwachanganya watu wasiojua tofauti ya JF na Michuzibblogspot.

Kwa ufupi utakuta Nadir haroub yule beki wa Taifa stars anajiita Nadir Cannavaro. Lakini Mwenyewe Cannavaro wa ukweli hawezi kujiita NADIR.

JF ipo juu sana
 
ES;

The fact kuwa Michuzi ameanza kuiita BLOG yake BLOG YA JAMII. Wakati anajua wazi kuwa kuna jamiiforums ambayo imesajiliwa kihalali INAONYESHA WAZI KUWA JAMIIFORUMS IPO JUU.

Na anachofanya kwa kuiita blog ya jamii ni kuwachanganya watu wasiojua tofauti ya JF na Michuzibblogspot.

Kwa ufupi utakuta Nadir haroub yule beki wa Taifa stars anajiita Nadir Cannavaro. Lakini Mwenyewe Cannavaro wa ukweli hawezi kujiita NADIR.

JF ipo juu sana

FP, kipi kilianza; Jambo Forums kuwa jamii forums au Michuzi blog kujiita Michuzi blogspot aka blogu ya jamii??
 
Kuna mawazo mengi mazuri ndani ya hii thread, lakini yamemezwa na mawazo machache mabaya.

Nitayataja mabaya kwanza!!

1. Kulinganisha 'Jamii forum' na 'Michuzi blog'

Jamii forum - habari za mafisadi, habari za kichunguzi, upelelezi na kuangusha wezi wa mali za taifa etc
Michuzi - Happy birthday, Vekesheni, Umoja wa wanaCCM London,..., Miss Tanzania etc


2. Kulinganisha 'Mwanakijiji na Mashaka'

Mwanakijiji - Mapambano na Mafisadi kufa na kupona
Mashaka - Mapambano na Mafisadi wakati huohuo akiwaogopa, kusifia CCM ....


Conclusion yake itakuwa ni confusion kwa kuwa haviendani kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom