Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Jan 15, 2010 #1 Nani zaidi kati ya wabunge vijana wafuatao kisiasa, kijamii nk?
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Jan 15, 2010 Thread starter #2 Honourable Mhonga Said Ruhwanya [CHADEMA] VS Lucy Thomas Mayenga Special Seat [CCM] Na wanashabihana kwa yapi?
Honourable Mhonga Said Ruhwanya [CHADEMA] VS Lucy Thomas Mayenga Special Seat [CCM] Na wanashabihana kwa yapi?
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Jan 15, 2010 Thread starter #3 Wekeni CV zao hapa
Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,237 Jan 15, 2010 #4 tupe sivii zao ili tuwajudge................vinginevyo hatuwajui mkuu..
Pretty JF-Expert Member Mar 19, 2009 2,575 552 Jan 15, 2010 #6 .........Mbona wasichana tupu? Kwa nini hujaweka na wanaume?Je hao ni wabunge wanawake pekee bungeni? Uzaidi wa nini unaotaka wewe hapa?
.........Mbona wasichana tupu? Kwa nini hujaweka na wanaume?Je hao ni wabunge wanawake pekee bungeni? Uzaidi wa nini unaotaka wewe hapa?
Pretty JF-Expert Member Mar 19, 2009 2,575 552 Jan 15, 2010 #7 .........Mbona wasichana tupu? Kwa nini hujaweka na wanaume?Je hao ni wabunge wanawake pekee bungeni? Uzaidi wa nini unaotaka wewe hapa?
.........Mbona wasichana tupu? Kwa nini hujaweka na wanaume?Je hao ni wabunge wanawake pekee bungeni? Uzaidi wa nini unaotaka wewe hapa?
Jile79 JF-Expert Member May 28, 2009 17,668 13,237 Jan 15, 2010 #8 mbona umeweka thread mbili za namna moja mkuu.........???????????
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Jan 15, 2010 Thread starter #9 Duh kina dada wa humu wamechachamaa Pretty and the likes sina nia mbaya ni mtizamo tu