Nani alikuwa mkali wa gita kati ya hawa?

Kichuchunge

JF-Expert Member
Dec 2, 2020
338
891
Eti nani alikuwa mpiga gitaa bora zaidi kati ya hawa watatu

1. Lokasa ya mbongo
2. Dally Kimoko
3. Diblo Dibala
Japo kuna watu kama Nene Tchakou
 
Eti nani alikuwa mpiga gitaa bora zaidi kati ya hawa watatu
1. Lokasa ya mbongo
2. Dally Kimoko
3. Diblo Dibala
Japo kuna watu kama Nene Tchakou
Walikua wanapiga magitaa tofauti
1.Lokasa ya Mbongo-gitaa la rhythm
2.Dally Kimoko-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhythm
3.Diblo Dibala-gitaa la solo
4.Nene Tchakou-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhytm na base guitar
 
Walikua wanapiga magitaa tofauti
1.Lokasa ya Mbongo-gitaa la rhythm
2.Dally Kimoko-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhythm
3.Diblo Dibala-gitaa la solo
4.Nene Tchakou-gitaa la solo japo pia alikua na uwezo wa kupiga rhytm na base guitar
Hapo unashindwa hata umchague nani
1 Diblo dibala extra ball kwenye ule wimbo alilitendea haki gitaa
2.Nene Tchakou Eveline ya mtu mzima Aurlus mabele
3.Lokassa ya mbongo Mariejose ya mwaka 1987 dah acha tu
4.dally kimoko akiwa na lokassa na kundi zima la soukous star Kin night
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom