“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitnaLabda bashite et al huko chamani?
Ndiyo ulivyoelewa ok basi Wakatoliki wasomi wa enzihizoMhhh. Yaani Nyerere na Obote walikuwa mashoga,?😲😲
Ccm ni chama kilicho fitinika.“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Ni mzigo TU huyoKwani chongolo ameifanyia Nini ccm hadi aonekana ni wapekee? Anaemfahamu atueleze ili tumpiganie kwa haya yanayo endelea juu yakeView attachment 2826988
You must be nuts!Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.
Watu hulipwa kwa kazi hiyo tu.Msaga Sumu yupo sasa“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
NoooMakonda makonda
Mashuz jazz bandAnayemuhujumu Chongolo hana hata wiki mbili …..
Poleni“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Ukiwa mfupi na akili inakuwa fupi...wapinzani wanaingiaje hapoPamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.
Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.
Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.
Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
Na declare interest kabisa mimi ni mkatoliki;Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Ni mpango Wa MUNGU .Samia kama kuna mtu alimdanganya kumrejesha DAB kitini naona anajuta sasa hivi.