Nani yupo nyuma ya kampeni ya kumchafua Chongolo?

“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.



Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.



Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.



Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.



Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitnaLabda bashite et al huko chamani?



 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Ccm ni chama kilicho fitinika.
Yaani wauaji ndio wana pewa madaraka ndani ya chama?. Ati mtu kama Makonda ni kionvozi wa kitaifa ndani ya chama. Fitna zimeanzia hapa.
 
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.
You must be nuts!
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Watu hulipwa kwa kazi hiyo tu.Msaga Sumu yupo sasa
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?

Anayemuhujumu Chongolo hana hata wiki mbili …..
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Poleni
 
Pamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.

Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.

Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.

Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
Ukiwa mfupi na akili inakuwa fupi...wapinzani wanaingiaje hapo
 
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.
Na declare interest kabisa mimi ni mkatoliki;
Ana mengi machafu ambayo hata kufikia hatua hizo hakustahili.
Alifunga au kuweka watu kizuizini
Alisaini kunyongwa kwa Mwamwindi
Alitengeneza vita vya Kagera kwa personal interests
Achilia yaliyo nyuma ya pazia kama kiongozi wa kisiasa na mtawala wa kiafrika.
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?

Kwani wachawi kule Giningi huwa wanaaminiana ??
 
CCM walishafitinika miaka mingi baada ya kuacha mambo ya Mungu na kumkumbatia "yule mwovu"
ndio maana ndani ndani ya CCM kumejaa; uovu, wizi, unyanganyi, ufisadi, majungu, fitna, husuda na uchafu wote
 
Samia kama kuna mtu alimdanganya kumrejesha DAB kitini naona anajuta sasa hivi.
Ni mpango Wa MUNGU .
Kwa siasa zilizopo DAB ni MTU Muhimu sana.
Kuna siasa chafu za kundi la Mafisadi ambalo halifiki Hata 2% ya WATANZANIA wote kuamua kuhujumu wananchi na kuwaondoa watetezi wao.
Bahati NZURI DAB ndiye mtetezi Wa wanyonge aliyebaki ndani ya CCM na Mungu amemweka Kwa makusudi yake.
DAB yupo upande Wa wanyonge . Anatetea 85 % ya wananchi Wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom