Nani wa kumpisha kati ya hawa binadamu 4?

Nitajifanya naumwa nitajikohoza hd machozi maana hapo utamwachia nani? kwanza gari lenyewe inawezekana umezunguka nalo umelipa nauli mara 2 halafu niachie mtu?
 
Da huwa sipendagi haya mambo ktk bus tena unakuta anasogea karibu yako ndio mana najibanaga siti ya dirishani
 
Back
Top Bottom