Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Barantanda, nonda, Belo, ndetichia, gutierez, myao wa tunduru, companero bila kumsahau Gang Chomba ambaye post zake alizowahi kuziandika kuwa
1. ''Siku Gaucho akiwa uwanjani basi Malaika huacha shughuli zao mbinguni''
2. ''kama mpira ungekuwa na mdomo basi kila mara ungeomba upelekwe kwa Gaucho''
3. ''gaucho ni nabii wa soka aliyetumwa kutuonyesha soka la mbinguni''
4. ''kama Gaucho akianzisha dini basi Gang chomba atakuwa muumini wa kwanza''
Bas kauli hizi zimenifanya namkubali sana huyu jamaa, pamoja na pumba alizonazo muda wote na mapenzi yake kwa ac milan hakika jamaa ni wa kipeke yake.
1. ''Siku Gaucho akiwa uwanjani basi Malaika huacha shughuli zao mbinguni''
2. ''kama mpira ungekuwa na mdomo basi kila mara ungeomba upelekwe kwa Gaucho''
3. ''gaucho ni nabii wa soka aliyetumwa kutuonyesha soka la mbinguni''
4. ''kama Gaucho akianzisha dini basi Gang chomba atakuwa muumini wa kwanza''
Bas kauli hizi zimenifanya namkubali sana huyu jamaa, pamoja na pumba alizonazo muda wote na mapenzi yake kwa ac milan hakika jamaa ni wa kipeke yake.