Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,066
Nauliza hivi,humu jf nani ni rafiki yako wa mtandao ambaye kwa sura hamfahamiani (hamjawahi kukutana physically wala kwa simu) lakini hisia zako kwake ni za mtu ambaye mko karibu (you are comfortable around him/her virtually) kiasi kwamba kupitia majibizano mbali mbali kwenye threads/posts unakuwa huna wasiwasi kuwa hata kidole (sio ulimi) kikiteleza hawezi kamwe kukuripoti abuse ukalambwa ban.In the same vein, je ni nani unamgwaya kiasi kwamba thread/post zake unazipitia pembeni au uki comment basi inakuwa ni kwa tahadhari sana maana unaogopa one mistake ataku report abuse ma mods wakutie bakora? sema tu usiogope.
ps: Bishanga ntarudi baadae na majina yangu ngoja kwanza nisokote kipande.
ps: Bishanga ntarudi baadae na majina yangu ngoja kwanza nisokote kipande.