Nani Mtanzania gani ana followers Instagram zaidi hawa?

Ata Mimi nimetuma maombi wangu wawafanye wawe 20.7m siitapendeza wajameni!
 
Mtanzania gani mwingine ana followers Instagram zaidi ya hawa? Sio mtumiaji sana wa Instagram lakini katika pitapita zangu naona hawa wanao followers wengi sana.
Diamond ana followers 7.1 Milioni.
Millard Ayo ana 5.3 Milioni.

Mtanzania gani mwingine mwenye kazi zake hapa bongo na ana idadi sawa ama zaidi ya hawa?

Na ni kwa nini huyu Millard yuko mbali kiasi hiki? Ni hii redio peke yake au kuna kingine?
Huwa wanaandika nini kwa manufaa ya wanaowafuatilia, angalau Ayo ni mtoa taarifa mbalimbali.
 
Mtanzania gani mwingine ana followers Instagram zaidi ya hawa? Sio mtumiaji sana wa Instagram lakini katika pitapita zangu naona hawa wanao followers wengi sana.
Diamond ana followers 7.1 Milioni.
Millard Ayo ana 5.3 Milioni.

Mtanzania gani mwingine mwenye kazi zake hapa bongo na ana idadi sawa ama zaidi ya hawa?

Na ni kwa nini huyu Millard yuko mbali kiasi hiki? Ni hii redio peke yake au kuna kingine?

HIVI NAOMBA KUULIZA HUU UJINGA ; UKIWA NA FOLLOWERS WENGI UNAPATA FAIDA GANI UNALIPWA PESA AU KUNA ZAWADI UNATUMIWA KUWA WEWE UNA WADAKU WENGI UPUUZI
 
Yaan ww badala ya kuanzisha uzi wenye manufaa kwako ama kwa watu wengine unatafuta nani ana followers wengi insta ? Ok ushajua sasa Diamond anaongoza wengine wafuata then what?
mfano anataka kumpa tangazo alipost kwenye acount yake we utajuaje?.
Mnatakiwa kuchukulia mambo pande zote mbili - or + na hilo swali alouliza lina manufaa kwa jamii pia. JF ni archive platform kuna mtu atataka tumia hiyo tarifa kufanyia tafiti yake.
hukuwahi ielewa Focus Group Disc inafanywaje?.

Chukulia mfano gazeti la tarehe 26 la Citizen (english) kuna makala moja imeandikwa na watu watatu konki toka UK wanaongelea 'impacts of social medias in Tanzanian Politics' na kwa mfano tu wamerefer uhasama wa "vijana wa lumumba" vs "vijana wa ufipa" huo ni mfano tu!..

Kujua most followed person in Tz ni faida kubwa sana kwa mfanyabiashara (digitized market)
 
Mtanzania gani mwingine ana followers Instagram zaidi ya hawa? Sio mtumiaji sana wa Instagram lakini katika pitapita zangu naona hawa wanao followers wengi sana.
Diamond ana followers 7.1 Milioni.
Millard Ayo ana 5.3 Milioni.

Mtanzania gani mwingine mwenye kazi zake hapa bongo na ana idadi sawa ama zaidi ya hawa?

Na ni kwa nini huyu Millard yuko mbali kiasi hiki? Ni hii redio peke yake au kuna kingine?
Kwa Tanzania kuwa na followers wengi kwangu hakumaanishi chochote bali ni ulimbukeni na fuata mkumbo! Ma-followers wengi wa kitanzania ni watu wasiojua hata umuhimu au kwanini wanam-follow mtu fulani. Hawana msimamo na wanachoamini na hu-follow fulani kwa sababu tu ameona wengine wamefanya hivyo. Hili lime-create society ya watu wengi malimbukeni, wanaomiliki simu na ku-follow mtu yeyote wanayeona watu wengine wamefanya hivyo. Wengi wanaamini usipom-follow fulani utaonekana siyo mjanja au ni mshamba! Hii inadhihirishwa na ma-followers wengi wanavyojirudia rudia ku-follow watu wengi. Iwe Facebook au Instagram au You-tube, unakuta mtu akiwa na simu kazi yake ni kubwa ni kubonyeza vitufe vya subscribe au follow kwa mtu yeyote anayesikika sikia mara kwa mara. Kwa kifupi wengi wana-follow siyo ku-gain chochote bali kwa sababu wameona wengine wanafanya hivyo.
 
Mtanzania gani mwingine ana followers Instagram zaidi ya hawa? Sio mtumiaji sana wa Instagram lakini katika pitapita zangu naona hawa wanao followers wengi sana.
Diamond ana followers 7.1 Milioni.
Millard Ayo ana 5.3 Milioni.

Mtanzania gani mwingine mwenye kazi zake hapa bongo na ana idadi sawa ama zaidi ya hawa?

Na ni kwa nini huyu Millard yuko mbali kiasi hiki? Ni hii redio peke yake au kuna kingine?
Hivi shule bado hazijafunguliwa tu?
 
Back
Top Bottom