King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
- Thread starter
- #21
CRDB kuuza eneo si makubaliano yao? Wameona inawalipa, nini tatizo? Pia kwa huyo fundi kukuhakikishia si dhani kama kuna ka ukweli! Kwani Riz1 ndiye msimamizi wa ujenzi?
Ndiye mlipaji mafundi na alikua anakuja kuangalia maendeleo ya ujenzi.