ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
Namzimika mtambuzi af akifuatiwa na ruta kijana ana kuja juu na mashairi yake yasiyo na vina wako je yupi unayemzikia?
Namzimika mtambuzi af akifuatiwa na ruta kijana ana kuja juu na mashairi yake yasiyo na vina wako je yupi unayemzikia?
Mie nakuzimikia wewe ummu kulthum! kwa comments zako.
khe jamani asante kumbe unazipenda?
Mno'mno! Kama ulikua hujui , basi leo jua!
Unanisuuza.
kha haja bwana ntakusuuza vinzuri kwa kutumia maji ya mlimani.
za asubuhi jamani
BT ! Humbonji mkubwa?
Mie niko niteduty ndo maana navinjari milango hii !
Jamani mtazaa saa ngapi ?
Ya mlimani mbona ya kawaida sana? Mi nilidhani ya Zamzam
aaah umenikumbusha jamani yaan maji ya zamzam ni mazuri hayo.
Kweli asiyekuwepo na lake halipo, maskini swahiba angu Husninyo...ameondoka hana wiki shemeji Judgement ushaanza kuzimika!..lol.Mie nakuzimikia wewe ummu kulthum! kwa comments zako.
Si kosa lake Husninyo alimpa ruhusa.. Anaitumia hiyo nafasi vizuri.