The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Wandugu naskiliza mahojiano ya Kikwete na Mitchell, kweli hii nchi ni nchi ya kuombaomba, kila uchwao, mawazo ya raisi yamejaa kusaidiwa, kauli zake zimejaa kuomba na kulialia, Huu ni upuuzi, huu ni ujinga
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!
To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!
To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!