Nani katuloga Watanganyika!

The Hunter

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
1,049
305
Wandugu naskiliza mahojiano ya Kikwete na Mitchell, kweli hii nchi ni nchi ya kuombaomba, kila uchwao, mawazo ya raisi yamejaa kusaidiwa, kauli zake zimejaa kuomba na kulialia, Huu ni upuuzi, huu ni ujinga
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!

To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!
 
Wandugu naskiliza mahojiano ya Kikwete na Mitchell, kweli hii nchi ni nchi ya kuombaomba, kila uchwao, mawazo ya rahisi yamejaa kusaidiwa, kauli zake zimejaa kuomba na kulialia, Huu ni upuuzi, huu ni ujinga
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!

To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!

Nimeipenda hiyo mkuu, nimekugongea Like:poa
 
Baba wa taifa alisema tunachukua chetu hatuombi, walichukua baba zetu waliokuwa wanajenga nchi hii wakaenda kuzalisha kwao na ndo maana wakatajirika, km umefika europe utaona majengo mengi sana yamejengwa miaka ile yautumwa, na capital kubwa waliipatawakati huo, infact mambo mengi waliyapta wakati wa ukoloni, acha tuombe lakini akili yetu ni kurudisha kilicho chetu, ukiwadai hawalipi
 
Wandugu naskiliza mahojiano ya Kikwete na Mitchell, kweli hii nchi ni nchi ya kuombaomba, kila uchwao, mawazo ya rahisi yamejaa kusaidiwa, kauli zake zimejaa kuomba na kulialia, Huu ni upuuzi, huu ni ujinga
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!

To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!
Babu yako, baba yako,bibi yako, mjomba wako, n.k. walioipigia kura CCM 2010 na wanaoendelea kuikumbatia.
 
Wandugu naskiliza mahojiano ya Kikwete na Mitchell, kweli hii nchi ni nchi ya kuombaomba, kila uchwao, mawazo ya rahisi yamejaa kusaidiwa, kauli zake zimejaa kuomba na kulialia, Huu ni upuuzi, huu ni ujinga
Tumetoa madini bure, tunaruhusu uwindaji bure, tumetoa uranium bure, akili yetu ni kuzunguka kila uchwao kuomba omba!
Shame kuwa na viongozi wasio jitambua na wasio jua wanataka nini!

To hell kikwete na kilimo kwanza chako!!

I entirely agree with Mwana JF, the Hunter in his stance on omba omba and the free grant of our maliasili.

However as for J.K's "Kilimo Kwanza", we have to find able people who are wazalendo, to operationalize this declaration, if this country is to make economic progress.
 
I entirely agree with Mwana JF, the Hunter; although as for J.K's "Kilimo Kwanza", we have to find able people to operationalize this declaration if this country is to make economic progress.

Tulipo opt ile Green Revolution toka China, hakuna mchina alikuja kutufundisha ama kuirun, ni Watanganyika wenyewe waliifanya, japo haikufaulu sana, bt ilisaidia nchi, ili kuwa ni sera ya wananchi
Leo Kilimo Kwanza, kimefeli toka mwanzoni maana kila kinachofanywa kinafanywa na wanasiasa na kisiasa
Ona mradi wa Power Tiller, ulivyojaa ubabaishaji, ona ruzuku za kilimo zinavyogawiwa kiupendeleo, kinyonyaji, ona soko la mazao linavyo hujumiwa na hao wezi wachache wenye mamlaka
Kikwete atambue Kilimo kwanza kitawezekana pakiwepo Dhamira ya dhati na maamuzi ya kweli ya kukifanya
Misaada ya nje si suluhisho maana hata AGOA, ilipotoa nafasi tukauze nje, hatukuwa na chakuuza
 
Back
Top Bottom