FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Pale mbele kuna picha za watu 6'
1.dr jakaya kikwete(raisi wa jamuhuri ya muungano)
2.dr ghalibu bilali(makamu wa raisi)
3.dr shein(raisi wa jamuhuri ya zanzbar)
4.mizego kayaza pinda(waziri mkuu)
5.malimu seif(makamu wa kwanza wa rais znz)
6.mzee kama niko right kwenye hili jina(makamu wa pili wa znz)
hoja yangu mbona hatujawahi kusiki mtanganyika kaongoza zanzibar o hata kuwa makamu wa raisi'
ukicheki hiyo listi vizuri zanzibar wana viongoz 4 tanganyika tuna viongoz 2'je kuna haki sawa hapo'idadi ya wazenji haifik milioni 1'tanganyika tuna watu mili 43 hivi kuna haki hapo''
swali jingine je wabunge wa zenji wanakaribia 100 je wanapokaa na kupitisha vifungu vya bajeti yetu ambavyo hafiwahusu mbona sisi watanganyika hatupo kwenye baraza la wawakilishi'
niishe hapo kwa leo
wenu katika ujenzi wa tanganyika yetu mpya
1.dr jakaya kikwete(raisi wa jamuhuri ya muungano)
2.dr ghalibu bilali(makamu wa raisi)
3.dr shein(raisi wa jamuhuri ya zanzbar)
4.mizego kayaza pinda(waziri mkuu)
5.malimu seif(makamu wa kwanza wa rais znz)
6.mzee kama niko right kwenye hili jina(makamu wa pili wa znz)
hoja yangu mbona hatujawahi kusiki mtanganyika kaongoza zanzibar o hata kuwa makamu wa raisi'
ukicheki hiyo listi vizuri zanzibar wana viongoz 4 tanganyika tuna viongoz 2'je kuna haki sawa hapo'idadi ya wazenji haifik milioni 1'tanganyika tuna watu mili 43 hivi kuna haki hapo''
swali jingine je wabunge wa zenji wanakaribia 100 je wanapokaa na kupitisha vifungu vya bajeti yetu ambavyo hafiwahusu mbona sisi watanganyika hatupo kwenye baraza la wawakilishi'
niishe hapo kwa leo
wenu katika ujenzi wa tanganyika yetu mpya