BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
jiulize mko wangapi?
haijalishi tupo watatu au wanne anaturidhisha inatosha....
jiulize mko wangapi?
hebu cheki li avatar la bishanga,dah,linanuka hela!
ole wake m chit chat yeyote nimkute karemba avatar yake ifanane na ya bishanga,na la ikitokea nitanunua u diamond member ( sh milioni kumi kwa mwaka) na atakayenifuata huko nahamia platinum member (sh milioni hamsini kwa mwaka) na mkinifuata huko basi nitakanunua kaseva kote ka jf kisha nimpe The secretary awe anasevia mistari ya mapenzi ninayomtumia kila kukicha...kudadadadadadeki bilionea la kihaya hoyeeeeeeeee!!!!!!!!!
nitonye!!!!!! ulipotelea wapi kamanda?@sweetlady jamani kwa nini ulimfanzia ndugu yangu? nitts huwezi amini yaani mara tu ulipopanda KLM kuelekea Harvard for your doctorate programme mkeo akaanza vibweka.Bila kupoteza muda nakuwekea singo ya mbaraka mwinshehe ikupe summary ya kila kitu:
shemeji shemeji mbona wazima taa?
shemeji shemeji wazima taa?
wewe Vin Diesel wazimia nini taa?
shemeji shemeji mbona wazima,
ni ushemeji gani huo wa kuzima taa?
hebu cheki li avatar la bishanga,dah,linanuka hela!
ole wake m chit chat yeyote nimkute karemba avatar yake ifanane na ya bishanga,na la ikitokea nitanunua u diamond member ( sh milioni kumi kwa mwaka) na atakayenifuata huko nahamia platinum member (sh milioni hamsini kwa mwaka) na mkinifuata huko basi nitakanunua kaseva kote ka jf kisha nimpe The secretary awe anasevia mistari ya mapenzi ninayomtumia kila kukicha...kudadadadadadeki bilionea la kihaya hoyeeeeeeeee!!!!!!!!!
Bishanga umependeza... Hivi huko pm nani anamanage kupokea na ku censor hizo pm zinazofurika za kuomba msaada? lol
On a serious note, bravo; am impressed.
Mmwaaaaaaaaa sweet wifi!:A S 465:
Hehehehe atapasuka libichwa leo lol
Wifi hongera zako na wewe......mwambie King'asti anilipe lile deni langu ASAP manake nataka nifuate nyayo zako !
Mwaaaaaa to you to sweet wifi... naonaje raha kukuona? lol
Hivi wifi kuna lililobaki zaidi ya kumuonesha Bishanga kuwa nasisi wamo? Mie saizi kwa B' respect juu, najua kuwa kumbe hata vitendo wamo... hahaha!
Hahaahhaha wifi mimi pia kwa Bishanga nimenyoosha mikono lol......mie nikajua kazi yake kupiga majungu chit chat tu.....tehe tehe ....afu huo ni mshahara wote wa mwezi huu.....akija tumchangieni hela ya kula jamani ataua watoto lol!