BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Bishanga, bishanga, bishanga!! We endelea tu uone utakavyoishiwa utaenda wapi. Wenzako tulivyokupa michango ulipokuwa unadaiwa bank sasa waja hapa kujisifia! Ngoja ruttashobolwa aje hapa akitoka chachi.
Nyani Ngabuunamjua unamsikia? subiri aje kama hujahama jamvi,yule jamaa mtambo ujue,atakutoa baruti leo na wigi ulisahau jamvini,ohoooooooNitamuambia sweetheart Paw asikupe ban hata ukipumbalaizi kiasi gani. Ila Nyani Ngabu ndo awe anapewa ban kila wknd.
deal?
charminglady,mgaagaa na upwa hali wali mkavu,we badala kujipendekeza kwa bishanga ule raha unaanza majungu,mara oh freemason,mara pesa ya tanesco,eti Kongosho inahuu?freemasons huyoooo!!!!!!!!!
Omwatani takweta mushaija,kileki nagoshoka bishanga abashaija ayanyampile olwazi lukatika.
aisee mbaile tinkumanya aisee,akili iwe,nainye kayepaseNomanya okwomukama wa jf wowaitu kantare,kiziba? Katumukumakume tumutwele nawe alugemu abe mushaija omushongole nka bill gates!
Bishanga, bishanga, bishanga!! We endelea tu uone utakavyoishiwa utaenda wapi. Wenzako tulivyokupa michango ulipokuwa unadaiwa bank sasa waja hapa kujisifia! Ngoja ruttashobolwa aje hapa akitoka chachi.
Mmmmhhhh unasemaje?
Nyani Ngabuunamjua unamsikia? subiri aje kama hujahama jamvi,yule jamaa mtambo ujue,atakutoa baruti leo na wigi ulisahau jamvini,ohooooooo