Nani huwafunza wasichana kujisafisha vizuri? Wengi UTI inawasumbua

Mkuu unajua mchaka mchaka ninapo muacha shule ni till eveng nikirud ndio tunaona bt kindly I will work on it
Mkuu, usiskize upuuzi. UTI ni ugonjwa wa kumbukiza. Sio lack of personal hygiene. Huu ujinga hata Zuma aliwahi sema eti ili usimbukizwe ngoma oga baada ya!! Pathetic.

Ambia mwanao asitumie choo za kuchuchumaa. Ama za shimo au za kukaa. Sababu ni kua choo za kuchuchumaa hazisafishwi vzr tofauti na za kukaa. Na ukikuta mahali kuna za kukaa, jua ni wasafi!! Na zikiwa chafu, ni rahisi kuona.
 
Mkuu una mawazo murua sana ila ni ya kinadharia zaidi. Hebu fikiria, mabibi wafanyao kazi ofisi za serekali yetu hii. Atapatapi ruksa ya kwenda home kuoga ili abadili pichu?? Haya, tuseme kachukua spea, ataingia choo gani kubadilishia hiyo iloshavunda? Vyoo vingi havina mlango, wanaenda 2 mmoja amfunike mwenzie. Na ataiweka wapi ili asiitupe?? Amepewa fedha ya kujikimu kununulia nyingine?
Acheni utani jamani. Waoneeni huruma mabibi hawa, wanastahili kuhurumiwa. UTI si ugonjwa bali fikira za watu tu. Miaka ya 70s wamama wengi walikuwa wanakaa mlango wazi bila kufuli. Ndo maana, mmama wa siku hizo alikuwa hawezi jisahau kuficha mapaja yake. Leo, mnawaona, wanajibana na soksi ati skini taiti. Na vumbi hili la jua kali hivi waache kuingiwa na joto hadi ndani?? Ukionja kitu mchana unakuta mooto ka nini.
UTI haisababishwi na joto. Huko shule mnasomea upumbavu?
 
Unaweza ukajiuliza zamani UTI haikuwepo maana saiv ni ugonjwa Kama Ilivo malaria ukienda hospital lazima uambiwe mkojo mchafu lakini sababu kubwa ni vyoo vya kisasa ukiingia toilet mwaga maji ndipo ujisaidie, hakikisha unanawa mbele kurudi nyuma maana wale bacteria wa nyuma kuwaleta mbele,kujikausha kuwa mkavu,kutovaa nguo za ndani ambazo zinatight sana,kunyoa pia unaporudi nyumbani jitahidi kunawa na maji mengi na hakikisha unatibiwa mpaka unaisha unaenda kurecheck ili usijirudie lingine kunywa maji mengi 3litres lakini inategemea na uzito wako,pendelea kula matango,Kama utaweza unakunywa asubuh kabla hujala chochote unakunywa maji ya moto unaweka cinnamon 1teaspoon unasubiri yawe ya uvuguvugu unaweka 2tablespoons of honey kwa siku saba utapona fanya chakula kwa tiba
 
...safisheni mavi yenu toka mbele kwenda nyuma and not vice versa....chanzo kikubwa cha UTI kwa milupo ni mavi yao ku contaminate K zao...kwa maana ya kuchamba toka nyuma kwenda mbele...pia kuosha K na maji taka...pia physiology ya uke wa demu inachangia sana...kuna mademu K iko karibu sana sana na mkun.du ...hao wanapata sana UTI...na kuna mademu K zao angalau ziko mbali kidogo na mku.ndu....hao hawapati sana UTI.....
Aisee... we jamaa uko explicit. Kiusafi kutawadha ni kuelekea mgongoni. Sio kikojoleoni.

Ila hawa wadada wa sasa wanavyopenda matako makubwa hawawezi kujiswafi hivyo. Maana mikono haiwezi kurudi kwa nyuma. So wanapeleka fecal matter ukeni. Balaaa kwa wanyonya k!!!! Ila haileti UTI
 
Unaweza ukajiuliza zamani UTI haikuwepo maana saiv ni ugonjwa Kama Ilivo malaria ukienda hospital lazima uambiwe mkojo mchafu lakini sababu kubwa ni vyoo vya kisasa ukiingia toilet mwaga maji ndipo ujisaidie, hakikisha unanawa mbele kurudi nyuma maana wale bacteria wa nyuma kuwaleta mbele,kujikausha kuwa mkavu,kutovaa nguo za ndani ambazo zinatight sana,kunyoa pia unaporudi nyumbani jitahidi kunawa na maji mengi na hakikisha unatibiwa mpaka unaisha unaenda kurecheck ili usijirudie lingine kunywa maji mengi 3litres lakini inategemea na uzito wako,pendelea kula matango,Kama utaweza unakunywa asubuh kabla hujala chochote unakunywa maji ya moto unaweka cinnamon 1teaspoon unasubiri yawe ya uvuguvugu unaweka 2tablespoons of honey kwa siku saba utapona fanya chakula kwa tiba
Usiseme vyoo vya kisasa. Sema kabisa ni vyoo vya kuchuchumaa ndo tatizo
 
am single dady my dota is six yrs kama ikikupendeza ungejaribu kutoa muongozo on how to over come it to our kids
Mkuu unajua mchaka mchaka ninapo muacha shule ni till eveng nikirud ndio tunaona bt kindly I will work on it
anajua kujisafisha mwenyewe akitoka kupuu?

mtoto wa six years ana stamina ya kukaa mwenyewe chooni ashike mpira wa maji ajisafishe?

mtoto wa Dada yangu ana 4yrs kafundishwa kujisafisha mwenyewe na toilet paper tu basi UTI hazimuishi!

pia ungemfundisha kukojoa kama ng'ombe, yani asichuchumae, ainame ili mimaji isimrukie. sijui kama mtoto wa six years anaweza hii.
 
Ambia mwanao asitumie choo za kuchuchumaa. Ama za shimo au za kukaa. Sababu ni kua choo za kuchuchumaa hazisafishwi vzr tofauti na za kukaa. Na ukikuta mahali kuna za kukaa, jua ni wasafi!! Na zikiwa chafu, ni rahisi kuona.
hata za kukaa unaweza kuachia mkojo kwa nguvu mimaji michafu ikakurukia.
 
anajua kujisafisha mwenyewe akitoka kupuu?

mtoto wa six years ana stamina ya kukaa mwenyewe chooni ashike mpira wa maji ajisafishe?

mtoto wa Dada yangu ana 4yrs kafundishwa kujisafisha mwenyewe na toilet paper tu basi UTI hazimuishi!

pia ungemfundisha kukojoa kama ng'ombe, yani asichuchumae, ainame ili mimaji isimrukie. sijui kama mtoto wa six years anaweza hii.
Kishare hayo makopo pia hujachangia toilet paper huwa inasaidia mkono usigusane direct na kinyesi unatakiwa baada ya kutumia toilet paper ndo unawe kwa maji maana kinyesi kina fat kiasi fulani so huwa hao staphylococcus huwa wanapenya kwenye ngozi baadae ukija unanawa mbele unakuta unawarudisha tena unatakiwa kunawa na sabuni na wengi hatunawi wa sabuni
 
Kishare hayo makopo pia hujachangia toilet paper huwa inasaidia mkono usigusane direct na kinyesi unatakiwa baada ya kutumia toilet paper ndo unawe kwa maji maana kinyesi kina fat kiasi fulani so huwa hao staphylococcus huwa wanapenya kwenye ngozi baadae ukija unanawa mbele unakuta unawarudisha tena unatakiwa kunawa na sabuni na wengi hatunawi wa sabuni
nani anatoka chooni bila kunawa na sabuni!!

umenikumbusha sekonadari nilikuwa naenda na sabuni ya unga kwenye kikaratasi shule kunawia. walianza kunicheka, baadae wakawa wananiomba.

of course unaanza na toilet paper then maji.

je kwa mtoto wa six years, anaweza kukaa chooni kijisafisha na maji?
wa dada yangu ndo huyo kafundishwa kujisafisha mwenyewe kama wa kumsafisha hamna, kila siku UTI
 
nani anatoka chooni bila kunawa na sabuni!!

umenikumbusha sekonadari nilikuwa naenda na sabuni ya unga kwenye kikaratasi shule kunawia. walianza kunicheka, baadae wakawa wananiomba.

of course unaanza na toilet paper then maji.

je kwa mtoto wa six years, anaweza kukaa chooni kijisafisha na maji?
wa dada yangu ndo huyo kafundishwa kujisafisha mwenyewe kama wa kumsafisha hamna, kila siku UTI
Mtoto wa six years Ukimfundisha anaweza kabisa tena na kumwambia asikubali mtu amguse sehemu zake hata wakati wa kumuogesha msaada mkubwa ni kumsaidia kumwagilizia maji ili atumie mikono yake mwenyewe watoto huwa wanaelewa sana maana unakuta mtu nae kajisafisha huko hajanawa kashika nyama huko jikoni hajanawa nk anakuja kumshika mtoto
 
Ndo utashangaa mtu akianza kula hanawi ila akimaliza kula ananawa mpaka na sabuni kutoa harufu na mabaki ya chakula imagine
 
Back
Top Bottom