kwanza inawezekana yeye ndo anamwambukizakwahyo ww mwanamke wako kila siku ana uti unajua wote tupo hivyo?
wao wanajua uti ni mwanamke tukwanza inawezekana yeye ndo anamwambukiza
saa nyingine ni kutokutobiwa vizuri mie nakumbuka nilikua nakutwa na UTI naenda hospital za vichochoroni napewa dawa inarudi tena....
nikaenda Aga Khan nikafanya Urine culture nikapewa dawa nikatumia mwaka huu unaisha sijawahi kuwa na UTI... above all ni kuzingatia usafi pia
Safi sanakikawaida mwanamke hautakiwi kuvaa chupi 1 kwa siku,usivae chupi mbichi,usikae kutwa nzima bila kuoga na hakikisha unapoenda kujisaidia ni pasafi kwakuwa matone ya mkojo yanaweza kujirudi ukeni