SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,143
- 7,909
Leo nakuja na mada fikirishi.
Nikiwa nalala peke yangu, huwa nahakikisha shuka limechomekwa vizuri kitandani kabla sijalala ila nikija kuamka nakutaga kitanda kimevurugika, shuka nililotandika limefolonyolewa kabisa na wakati mwingine nalikuta sakafuni.
Kuna mara nasema ngoja nilale kwenye kochi sebuleni nione nini kitatokea, nakuta tena shuka lote limechomolewa.
Nikilala na shemeji yenu hayo wala hayatokei.
Nini mnadhani huwa kinatokea enyi wana wa Adamu maana dunia hii ina siri nyingi.
Nikiwa nalala peke yangu, huwa nahakikisha shuka limechomekwa vizuri kitandani kabla sijalala ila nikija kuamka nakutaga kitanda kimevurugika, shuka nililotandika limefolonyolewa kabisa na wakati mwingine nalikuta sakafuni.
Kuna mara nasema ngoja nilale kwenye kochi sebuleni nione nini kitatokea, nakuta tena shuka lote limechomolewa.
Nikilala na shemeji yenu hayo wala hayatokei.
Nini mnadhani huwa kinatokea enyi wana wa Adamu maana dunia hii ina siri nyingi.