Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi