chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
msihangaike ni mwandishi wa uhuru usiku asubuhi yupo Jambo leo
Masheikh wa BAR KWATA lazima watolee tamko huyu Deus ni Fatwa tu
Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
jana katika bbc sa 12.30 jion nilimsikikiza deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
kwanini huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Na wewe umetumwa na nani?Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Who is Deus kibamba? nani ana Historia yake?
Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Nadhani Nchi unayoizungumzia wewe ni ya Chumbani kwako na mumeo. Pole sana kwa kuwa na fikra finyu kama hizo. Kwa taarifa yako Nchi inayozungumzwa hapa ni Taifa kubwa la Watanzania zaidi ya milioni 40. Amka usingizini acha kuwaza mambo ya chumbani saa hizi, utakuta mwana si wako.
Siyo siri kupeng'e una vutia, kuna kipindi nilijaribu kukuweka kwenye Ignore list lakini nilipo kumbuka sura na maumbile yako inaniwia vigumu.Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Una mwandiko kama wa Malaria suguJana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi
Nasikia kuna watu walimstua kwamba kitendo chake cha kupinga pinga mambo kilisababisha akose hata unaibu waziri, badirika mama humuoni mwenzako Celina Kombani anajilia kuku tartiiibu akiambiwa aseme Katiba mpya haitakiwi anafanya hivyo bila kusitaMama kilango malecela ndio double agent.
Jana kafanya upumbavu wa hali ya juu sana. Wakowapi wale waliokuwa wanamwita mpiganaji?
Ccm inakufa soon.
Maandamano yako palepale, iteni polisi, magereza, usalama wa taifa, jeshi, mgambo, askari wa uhamiaji, na walinzi wa makampuni binafsi kamwe hamuwezi kuidhibiti nguvu ya umma
Tuko pamojaUtapambana na nani wakati mtu mmoja anavuruga nchi
Natoa Rai kwa MWEMA amchughulikie kwa kuchochea