Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Wameingiziwa tuzishukuru Benki za biashara nchini hasa Stanbic kwa mikopo mpaka kuikopesha serikalihivi hao polisi mshahara wao wa mwezi uliopita wameingiziwa?
Wameingiziwa tuzishukuru Benki za biashara nchini hasa Stanbic kwa mikopo mpaka kuikopesha serikalihivi hao polisi mshahara wao wa mwezi uliopita wameingiziwa?
Ni mume wa Mtu huyo labda cheki na Rev Masanilo labda ndo ana mda wa kuhangaika na minungayembeWho is Deus kibamba? nani ana Historia yake?
Deus Kibamba ni mpuuzi kama wapuuzi wengine na ni mganga njaa tu anaeishi kwa vinvuli vya NGO. huyu na Agustino Mrema wana NGO yao wanajiita mabalozi wa Amani hawa watu wana njaa mpaka kwenye makalio.Who is Deus kibamba? nani ana Historia yake?
Deus Kibamba ni mpuuzi kama wapuuzi wengine na ni mganga njaa tu anaeishi kwa vinvuli vya NGO. huyu na Agustino Mrema wana NGO yao wanajiita mabalozi wa Amani hawa watu wana njaa mpaka kwenye makalio.
Kwenye swala la katiba mpya tupo pamoja ila wanaharakati ninaowaamini mimi ni wale wa viwango vya Ananilea Nkya na watu kama Mzee Mkinga na sio huyu mpuuzi njaa kali Deus Kibamba.
Tuwe macho katika hizi harakati zetu kwani kwenye huu msafara wa mamba na kenge wamo. Deus Kibamba anayo bei, maana yake ananunulika.
Vipi mkuu blog yako inaendeleaje? wadhamini wameongezeka au bado uko na tigo peke yao? mimi sina tatizo na wewe maana nakufahamu wewe ni opportunist.Hapo kwenye Red MAIN POINT WATCH OUT
Ni wananchi gani hao wanaoweza kumtuma Double Agent! think twice man, sio kila mtu anaehubiri mabadiliko ukadhani yupo upande wa wapenda haki. huyu mimi nilishamdharau siku nyingi tu kwa kukubali kuwa mamluki.wananchi tumemtuma kilaza wewe! zama za chama kushika hatamu zimekufa muda mrefu lazima tuandamane
Jana katika BBC sa 12.30 jion nilimsikikiza Deus akisema wametangaza
maandamano ya nchi nzima kupinga uwasilishaji wa mswada wa marekebisho ya katiba
akasema watu wataandamana kutoka mkoa yote nchini kuelekea Dar es salaam
ambapo watakaa sehemu moja kiwanjani mpaka serikali itakpokubali
Kwanini Huyu jamaa anataka kuvuruga nchi?
Mytake
Police wamshughulikie kwa kauli zake za uchochezi