Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 219
Hivi vijana wenzangu wa zamani, mnamkumbuka mzee Majambo? Alikuwa anavaa vitu fulani hivi miguuni na alikuwa anatembeza na kuuza karanga. Yule mzee alikuwa ananitisha sana na nilikuwa napata wakati mgumu mno nikisika anakuja mtaani kwetu.