William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mzee MMJ,
Kwa taratibu za ccm, huwa hakuna mwanachama anyeruhusiwa kutoa malalamiko yake nje ya vikao vya chama, kwa hiyo hakuna kiongozi wa ccm anyeweza kufanya hicho kitendo, na kuna mifano miwili aliyotokea karibuni, kwanza ni DR. KITINE, halafu ni Mzee Sozigwa, ambao walijaribu kuvunja hiyo ilani wakaishia kukaripiwa sana na cccm, na mpaka leo sidhani kama tumeshawasikia tena!
Mzee Lunyungu,
With all respect, kazi ya makamu wa ccm, ni kupambana na upinzani na ikiwezekana hata kuuvunja kabisaaa, ccm ni chama cha siasa sio cha upadri, na hakuna mwananchi yoyote mjinga anyefikiri kuwa watawala kama ccm ambao wamekuwa kwenye power for 44 years, wanaweza kuachia madaraka hivi hivi tu, na kama huamini muuulize Mrema.
Sasa ni mategemeo yangu kuwa vyama vyote vya siasa nchini vitakuwa either na kiongozi mmoja katika system yake ambaye kazi yake itakuwa ni ku-deal na mbinu za kupambana na vyama vingine, ambazo ni within na outside ya legal system, ndio maana Nixon alikamatwa na watergate, au kitengo maalum ndani ya chama cha kupambana na vyama vingine, kwa maneno yako hapo juu inaonekana kuwa huenda vyama vyetu vya siasa havina hiyo kitu, na ndio maana matokeo ni yale yale kila siku, pamoja na uozo wote tulionao bado ccm hushinda tu, tena ilimfanya mpaka mwenyekiti wa chadema ashindwe kuwaelewa wananchi kutokana na matokeo ya uchaguzi wa rais uliopita,
Kuanza kuongelea atakapoacha kazi hiyo, ni dalili za kusihiwa hoja na kwenda low za unafiki, majungu, na uzandiki, yaani aliye juu mngoje chini, wakati siku hizi huwa tunamfuata huko huko juuu, tunapotaka cha uvunguni siku hizi huwa hatuinami ila tunabenua kitanda, kwa hiyo lets talk the influencial na what is the influence na where the line is drawn, na faida na hasara zake kwa taifa letu, badala ya akiacha kazi itakuwaje hivi huoni kuwa hiyo ni very low thinking kuwepo kwenye hii forum tukufu?
Kuna anayesema kuwa Mama Sitti naye pia husafiri, man! huyu Mama ndio husafiri lakini kwa nauli yake binafsi sio hela za serikali kama makamu wa ccm ambaye husafiri 1st Class na entrouge yake, Mama Sitti hulipiwa na serikali pale tu anaposafiri na mumewe kwenda kwenye matibabu au safari za kiserikali, otherwise hana hela za kulipa 1st Class, na mimi binafsi sina tatizo na serikali yetu kuwakarimu viongozi waliolitumikia taifa letu kwa mpaka kutufikisha hapa tulipo, unajua mara ya mwisho Kaunda alipokuja bongo alisema kuwa he was impressed na tabia yetu as a nation ya kuwatunza viongozi wastaafu, ambao aliwakuta pale uawanja wa taifa kwenye lile gwaride muungwan kuchukua power! Na ndivyo taifa la watu wastaarabu linavyopaswa ku-behave, halafu kumbuka kuwa hata Mzee Seif naye huwa anaipata,
Mzee 70M,
Kwa kawaida huwa nipo hapa kukata ishu yoyote ile ambayo ninaielewa, na huwa sijali inamhusu nani, ni muda mrefu sana nimekuwa nikijionea baadhi yetu wakitaka kuwadanganya wengine hapa wasioelewa kinachoendelea katika nchi yetu, hapo ndipo utanipata, sasa wakishindwa hoja as usual hukukimbilia matusi, huwa sina noma na huko pia tunavutana nako, lakini one thing ni kuwa hatutakubali kuruhusu hao watu kushusha hadhi ya hii forum kwa kusema uongo wa makusudi, huuu sio mgahawa au kijiweni, no! hapa ni forum ya kimataifa na inasomwa na dunia nzima, kwa hiyo ni muhimu sana tukasimamia credibility, ndio maana tunao mpaka viongozi muhimu sana wa taifa hapa, sasa tunataka kuwafahamisha wanaotaka mchezo kuwa hapa sio mahali pake,
Nafikiri pia umejonea kuwa kuna wanaotaka kutugeuza wote hapa kuwa waliaji tu wa bila sababu, yaani kila kukicha ni kulia tuuu na kuwalaumu viongozi wa taifa na serikali, ili mradi kulaumu tu kila mtu lakini never hata siku moja kubeba responsibility za matatizo yao, wewe angalia ishu ya Mzee Zeee, sasa anyelaumiwa ni en, na sio Zee wala ac, tena kuna mpaka maneno ya "Free Amina" hapa ndipo ninaposema kuwa Wa-Tanzania, tusipoamuka tuatishia kutawaliwa na ccm for the rest of our life, Mwalimu alimuweka Mwinyi, akamuweka bm, na bm akamuweka muungwana, bila ya kujali matakwa ya wananchi Millioni 35! Wote tukalazimishwa kufuata matakwa ya mtu mmoja, na here we are confused hatujui tunakotoka wala tunakoenda! Muuungwana atakapotoka guess what? naye atamuweka mtu wake, kwa sababu siku zote tunamshangilia Mwalimu as if the man was a semi-God, kwamba hakuwa na makosa kabisaaa ambayo tulihitaji kuyaangalia na kuyarekebisha ili angalau tuuone mwanga mwisho wa tanuru, lakini wapi?
Ukiisoma hii mada kwa makini sana utajionea mwenyewe kuwa sio tu kwamba tuko confused, NO! bali pia ni taifa la wananchi waliokata tamaaa kabisaaa kwamba kuna siku itatokea miujiza vviongozi wa ccm watatoweka, upizani watachukua power, na basi nchi itakuwa safi wananchi wataneemeka na kuwa matajiri au serikali itaondoa matatizo yao mara moja, na wananchi wote tutakuwa sawa!
Kwa taratibu za ccm, huwa hakuna mwanachama anyeruhusiwa kutoa malalamiko yake nje ya vikao vya chama, kwa hiyo hakuna kiongozi wa ccm anyeweza kufanya hicho kitendo, na kuna mifano miwili aliyotokea karibuni, kwanza ni DR. KITINE, halafu ni Mzee Sozigwa, ambao walijaribu kuvunja hiyo ilani wakaishia kukaripiwa sana na cccm, na mpaka leo sidhani kama tumeshawasikia tena!
Mzee Lunyungu,
With all respect, kazi ya makamu wa ccm, ni kupambana na upinzani na ikiwezekana hata kuuvunja kabisaaa, ccm ni chama cha siasa sio cha upadri, na hakuna mwananchi yoyote mjinga anyefikiri kuwa watawala kama ccm ambao wamekuwa kwenye power for 44 years, wanaweza kuachia madaraka hivi hivi tu, na kama huamini muuulize Mrema.
Sasa ni mategemeo yangu kuwa vyama vyote vya siasa nchini vitakuwa either na kiongozi mmoja katika system yake ambaye kazi yake itakuwa ni ku-deal na mbinu za kupambana na vyama vingine, ambazo ni within na outside ya legal system, ndio maana Nixon alikamatwa na watergate, au kitengo maalum ndani ya chama cha kupambana na vyama vingine, kwa maneno yako hapo juu inaonekana kuwa huenda vyama vyetu vya siasa havina hiyo kitu, na ndio maana matokeo ni yale yale kila siku, pamoja na uozo wote tulionao bado ccm hushinda tu, tena ilimfanya mpaka mwenyekiti wa chadema ashindwe kuwaelewa wananchi kutokana na matokeo ya uchaguzi wa rais uliopita,
Kuanza kuongelea atakapoacha kazi hiyo, ni dalili za kusihiwa hoja na kwenda low za unafiki, majungu, na uzandiki, yaani aliye juu mngoje chini, wakati siku hizi huwa tunamfuata huko huko juuu, tunapotaka cha uvunguni siku hizi huwa hatuinami ila tunabenua kitanda, kwa hiyo lets talk the influencial na what is the influence na where the line is drawn, na faida na hasara zake kwa taifa letu, badala ya akiacha kazi itakuwaje hivi huoni kuwa hiyo ni very low thinking kuwepo kwenye hii forum tukufu?
Kuna anayesema kuwa Mama Sitti naye pia husafiri, man! huyu Mama ndio husafiri lakini kwa nauli yake binafsi sio hela za serikali kama makamu wa ccm ambaye husafiri 1st Class na entrouge yake, Mama Sitti hulipiwa na serikali pale tu anaposafiri na mumewe kwenda kwenye matibabu au safari za kiserikali, otherwise hana hela za kulipa 1st Class, na mimi binafsi sina tatizo na serikali yetu kuwakarimu viongozi waliolitumikia taifa letu kwa mpaka kutufikisha hapa tulipo, unajua mara ya mwisho Kaunda alipokuja bongo alisema kuwa he was impressed na tabia yetu as a nation ya kuwatunza viongozi wastaafu, ambao aliwakuta pale uawanja wa taifa kwenye lile gwaride muungwan kuchukua power! Na ndivyo taifa la watu wastaarabu linavyopaswa ku-behave, halafu kumbuka kuwa hata Mzee Seif naye huwa anaipata,
Mzee 70M,
Kwa kawaida huwa nipo hapa kukata ishu yoyote ile ambayo ninaielewa, na huwa sijali inamhusu nani, ni muda mrefu sana nimekuwa nikijionea baadhi yetu wakitaka kuwadanganya wengine hapa wasioelewa kinachoendelea katika nchi yetu, hapo ndipo utanipata, sasa wakishindwa hoja as usual hukukimbilia matusi, huwa sina noma na huko pia tunavutana nako, lakini one thing ni kuwa hatutakubali kuruhusu hao watu kushusha hadhi ya hii forum kwa kusema uongo wa makusudi, huuu sio mgahawa au kijiweni, no! hapa ni forum ya kimataifa na inasomwa na dunia nzima, kwa hiyo ni muhimu sana tukasimamia credibility, ndio maana tunao mpaka viongozi muhimu sana wa taifa hapa, sasa tunataka kuwafahamisha wanaotaka mchezo kuwa hapa sio mahali pake,
Nafikiri pia umejonea kuwa kuna wanaotaka kutugeuza wote hapa kuwa waliaji tu wa bila sababu, yaani kila kukicha ni kulia tuuu na kuwalaumu viongozi wa taifa na serikali, ili mradi kulaumu tu kila mtu lakini never hata siku moja kubeba responsibility za matatizo yao, wewe angalia ishu ya Mzee Zeee, sasa anyelaumiwa ni en, na sio Zee wala ac, tena kuna mpaka maneno ya "Free Amina" hapa ndipo ninaposema kuwa Wa-Tanzania, tusipoamuka tuatishia kutawaliwa na ccm for the rest of our life, Mwalimu alimuweka Mwinyi, akamuweka bm, na bm akamuweka muungwana, bila ya kujali matakwa ya wananchi Millioni 35! Wote tukalazimishwa kufuata matakwa ya mtu mmoja, na here we are confused hatujui tunakotoka wala tunakoenda! Muuungwana atakapotoka guess what? naye atamuweka mtu wake, kwa sababu siku zote tunamshangilia Mwalimu as if the man was a semi-God, kwamba hakuwa na makosa kabisaaa ambayo tulihitaji kuyaangalia na kuyarekebisha ili angalau tuuone mwanga mwisho wa tanuru, lakini wapi?
Ukiisoma hii mada kwa makini sana utajionea mwenyewe kuwa sio tu kwamba tuko confused, NO! bali pia ni taifa la wananchi waliokata tamaaa kabisaaa kwamba kuna siku itatokea miujiza vviongozi wa ccm watatoweka, upizani watachukua power, na basi nchi itakuwa safi wananchi wataneemeka na kuwa matajiri au serikali itaondoa matatizo yao mara moja, na wananchi wote tutakuwa sawa!