Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,647
- 11,574
tuwe na printer zetu tena ufundi wa Mungu usimame zisimamiwe na wachaga.
Hapo sasa,Halafu kwa nini wasi print ziwe nyingi sana ili ziwe zinapatikana kwa urahisi maisha yasiwe magumu sana?
sijasoma mambo ya uchumi lakini hichi ndicho ninachokielewaHalafu kwa nini wasi print ziwe nyingi sana ili ziwe zinapatikana kwa urahisi maisha yasiwe magumu sana?
Tunawalipa kwa dola au Euro kadri ya mkataba. Ili kulinda uhai wa fedha yetu nasi tuna kiwanda cha kumalizia process muhimu.Alafu hao wanaotuprintia tunawalipa kwa pesa zipi , Yani wanatupa pesa in exchange for what?
Itakuwa kama Zimbabwe mkate unanunua kwa milionsijasoma mambo ya uchumi lakini hichi ndicho ninachokielewa
kimsingi ukiwa na hela nyingi, hutafanya kazi tena
mkulima akiwa na hela, hatolima maana anachokitafuta tayari anacho, au alime auze bei juu zaidi sana
kabisaItakuwa kama Zimbabwe mkate unanunua kwa milion
UONGOTunaweza. Wenzetu Kenya wana print hela zao wenyewe tangu miaka ya zamani. Ingawa wana print noti pekee
UONGO, kampuni husika ndio yahusika na kila kituKuna kampuni nyingi au kadhaa duniani hufanya hiyo kazi.
Ili pesa uitumie inapitia hatua kama 3.
Tanzania tunacho kiwanda cha kuweka alama muhimu na kuziingiza sokoni.
Ni siri kidogo
UONGOKuna kipindi kuchapa noti 1 ya shilingi 1000 ilikuwa karibu shs 500
Wao wanapewa madini..Then wanatupa hela🧐Alafu hao wanaotuprintia tunawalipa kwa pesa zipi , Yani wanatupa pesa in exchange for what?
UONGO, kampuni husika ndio yahusika na kila kitu.
Kiongozi nifanyie mpango wa kibarua kweny hiko kiwanda japo niwe porter cum hapo kiwandaniKuna kampuni nyingi au kadhaa duniani hufanya hiyo kazi.
Ili pesa uitumie inapitia hatua kama 3.
Tanzania tunacho kiwanda cha kuweka alama muhimu na kuziingiza sokoni.
Ni siri kidogo
Mwisho wa siku uzalishaji utakuwa uko chini, na uhaba wa vitu kutokea; ndipo mkate mmoja utafikia kuuzwa kwa laki 5 n.ksijasoma mambo ya uchumi lakini hichi ndicho ninachokielewa
kimsingi ukiwa na hela nyingi, hutafanya kazi tena
mkulima akiwa na hela, hatolima maana anachokitafuta tayari anacho, au alime auze bei juu zaidi sana