Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
Kuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
Kwani wewe ulitaka kusemaje?naona povu linakutoka,unawauliza hao watu au unataka kurusha ngumi kwa wapotoshaji?Kuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
Mbona unajishtukizia? si uwataje tu, au unawaogopa?Kuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
Kuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
Wapo waliokufa kabisa acha waliofilisika
kwahiyo kama alifilisika sisi tufanyeje?????????
yule mzee wa kizanaki ana fitna sana
vitabu vya historia haviwataji taji wenzake,ni yeye tu
kabla hajifilisika alikuwa na mali kiasi gani?alifilisika kwa kununua nini?alikuwa na biashara gani?alikuwa na watoto wangapi?..mambo mengine labda ni ya kifamilia mnalaumu wengine.Ujue tu inatosha hakuna deni
Na wao hawakufanya ili muwalipe walifanya kwa Lango la nyie vitoto vyenye ufedhuli mje kula mema ya nchi yenukwahiyo kama alifilisika sisi tufanyeje?????????
Sisi tunaamini alifilisika kwenye harakati.. Wewe ambaye huamini ndio utupe ushahidiKuna watu wanadai mzee Dosa alifilisika kwasababu alitumia rasilimali zake kupigania uhuru wa Tanganyika. Yuko wapi mwenye ushahidi huo?
lango lipi??Na wao hawakufanya ili muwalipe walifanya kwa Lango la nyie vitoto vyenye ufedhuli mje kula mema ya nchi yenu
Ndicho pekee ulichokionalango lipi??